Kanali G
JF-Expert Member
- Oct 21, 2013
- 9,897
- 14,447
Yeye kasema mpira ni mchezo wa hadharani, Arsenal alimpiga nyumbani Ac Milan aliyekuwa hajapoteza kwao
Rwandamina anasema Zesco haijawahi kupoteza mechi ya kimataifa Levi Mwanawasa.......mtajuta kubebwa na Simba