Sesten Zakazaka
JF-Expert Member
- Sep 10, 2017
- 10,561
- 19,056
Shadeeya mamii usilinganishe kiwango cha Makhirikhiri na Zambia, Zambia li level ingine banaKwani kule kwa Townshipp Rollers tulipewa Penalti?
Kwahiyo bado unaamini kwenye soka la sasa kuna kitu bahati? Ukizidiwa umezidiwa mkubali tu na kama mtu anajua anajua tu wala msisingizie bahatiKwa hili nionavyo tunywe Mtori nyama tutazikuta chini kwani bahati ya kuzilenga nyavu tu ndio hatuna lakini hizo move tunazitengeneza sana tu.
Nawasubiria kwa hamu niwaone mtakavyozitumia vyema dk 90 za huko Zambia kupunguza magoli mtayopachikwa 🤣 🤣 🤣Haya ni mawazo yenu tu love na wala hatuchezi mpira tukiyatarajia hayo. Na pia niseme ile ni sehemu ya mpira hivyo yote tumeyapokea na kujipanga kwa 90 mins za kule Zambia ambazo nina hakika tutazitumia vyema. 😎