johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 84,035
- 142,145
Hii haihusiani na mkataba wa bandari bali nilikuwa naangalia tu Baraka za Waluteri katika Uongozi wa taifa
Ndio nikakuta KKKT Wana Baraka za kuwa Injini Chamani na Serikalini
Mfano makatibu Wakuu Wa CCM mzee Mangula, Komredi Chongolo hata mzee Makamba alikuwa akiabudu Kijitonyama enzi za Mchungaji Hiza
Kule serikalini walikuwepo mzee Msuya, mzee Sumaye na mzee Lowassa
Mlale unono 😀😀
Ndio nikakuta KKKT Wana Baraka za kuwa Injini Chamani na Serikalini
Mfano makatibu Wakuu Wa CCM mzee Mangula, Komredi Chongolo hata mzee Makamba alikuwa akiabudu Kijitonyama enzi za Mchungaji Hiza
Kule serikalini walikuwepo mzee Msuya, mzee Sumaye na mzee Lowassa
Mlale unono 😀😀