KKKT Mashariki na Pwani lawamani kwa kuhamisha hovyo Wachungaji

Erythrocyte

JF-Expert Member
Nov 6, 2012
117,670
218,173
Wanaosimamia Kanisa la KKKT kwenye Jimbo la Mashariki na Pwani wameingia matatani kwa kuhamisha hovyo watumishi wao wakiwemo Wachungaji na Wainjilisti .

Taarifa za Uhakika kutoka kwa waumini wa kanisa hilo zinadai kwamba hata familia za watumishi kwa maana ya watoto wanaosoma shule mbali mbali hawana uhakika wa shule watakazomalizia masomo yao , kwa vile wazazi wao ambao ni watumishi wa Mungu waweza kuhamishwa hata mara nne kwa mwaka , sasa hoja ni hii , wawezaje kuhamisha watoto shule mara zote hizo kwa mwaka mmoja tu ? Taarifa zingine zinadai kwamba kuhamishwa hamishwa kwa wachungaji hao kunahusiana sana na Mahusiano yao na viongozi wa juu , wanaoenda nao sawa hawasumbuliwi lakini wale wanaoonekana kwenda kinyume na mambo binafsi ya viongozi huhamishiwa kusiko na Network .

Yawezekana ni kweli kwamba utumishi wa Mungu ni wito na kwamba Wachungaji na Wainjilisti hawachagui pa kutoa huduma , lakini kuhamisha watu hawa kila baada ya muda mfupi hakulijengi kanisa hilo bali kunaleta manung'uniko , kuna haja ya VIONGOZI WA MASHARIKI NA PWANI KUJITAFAKARI KAMA MAAMUZI YAO YANASUKUMWA NA KAZI YA KITUME YA MWENYEZI MUNGU AU NI MATAKWA YAO BINAFSI .

NOTE : Niko Tayari kusahihishwa .
 
Yaani kilio kipo Usharika wa Temeke Wailes. Yaani mchungaji na watendaji wake hawakai. Yaani hata majina Yao siku hizi hatutaki kuweka kichwani maana ukilifahamu jina kesho kutwa hayupo. Kwa sasa Usharika hakuna mchungaji. Usharika umewekwa chini ya Mkuu wa Jimbo la Kusini ambaye Kwa cheo na majukumu yake hawezi kukaa au kutoa huduma usharikani. Hivyo kukiwa na tukio anaazima mchungaji left right and centre kuja kutoa huduma. Naishauri Diosisi ifunge kabisa Usharika wa Temeke Wailes kama umewashinda. Yaani huyu Malasusa ni kwa nini asiondolewe kwa nguvu Tu? Hafai kabisa na skendo zake ni nyingi mno.

Na taratibu Usharika wa Temeke Wailes utakufa kama hatua za haraka hazitachukuliwa.
 
Yaani kilio kipo Usharika wa Temeke Wailes. Yaani mchungaji na watendaji wake hawakai. Yaani hata majina Yao siku hizi hatutaki kuweka kichwani maana ukilifahamu jina kesho kutwa hayupo. Kwa sasa Usharika hakuna mchungaji. Usharika umewekwa chini ya Mkuu wa Jimbo la Kusini ambaye Kwa cheo na majukumu yake hawezi kukaa au kutoa huduma usharikani. Hivyo kukiwa na tukio anaazima mchungaji left right and centre kuja kutoa huduma. Naishauri Diosisi ifunge kabisa Usharika wa Temeke Wailes kama umewashinda. Yaani huyu Malasusa ni kwa nini asiondolewe kwa nguvu Tu? Hafai kabisa na skendo zake ni nyingi mno.

Na taratibu Usharika wa Temeke Wailes utakufa kama hatua za haraka hazitachukuliwa.
KKKT tayari shetani kaingia humo hamuwezi kukaa ka kutulia tena mana kanisa tayari limeharalisha ushoga..hakuna roho wa Mungu tena humo kanisa limekua pango la wanyanganyi.

Ondokeni mkatengwe naye.

#MaendeleoHayanaChama

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ushindwe kwa Jina la Yesu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wanaosimamia Kanisa la KKKT kwenye Jimbo la Mashariki na Pwani wameingia matatani kwa kuhamisha hovyo watumishi wao wakiwemo Wachungaji na Wainjilisti .

Taarifa za Uhakika kutoka kwa waumini wa kanisa hilo zinadai kwamba hata familia za watumishi kwa maana ya watoto wanaosoma shule mbali mbali hawana uhakika wa shule watakazomalizia masomo yao , kwa vile wazazi wao ambao ni watumishi wa Mungu waweza kuhamishwa hata mara nne kwa mwaka , sasa hoja ni hii , wawezaje kuhamisha watoto shule mara zote hizo kwa mwaka mmoja tu ? Taarifa zingine zinadai kwamba kuhamishwa hamishwa kwa wachungaji hao kunahusiana sana na Mahusiano yao na viongozi wa juu , wanaoenda nao sawa hawasumbuliwi lakini wale wanaoonekana kwenda kinyume na mambo binafsi ya viongozi huhamishiwa kusiko na Network .

Yawezekana ni kweli kwamba utumishi wa Mungu ni wito na kwamba Wachungaji na Wainjilisti hawachagui pa kutoa huduma , lakini kuhamisha watu hawa kila baada ya muda mfupi hakulijengi kanisa hilo bali kunaleta manung'uniko , kuna haja ya VIONGOZI WA MASHARIKI NA PWANI KUJITAFAKARI KAMA MAAMUZI YAO YANASUKUMWA NA KAZI YA KITUME YA MWENYEZI MUNGU AU NI MATAKWA YAO BINAFSI .

NOTE : Niko Tayari kusahihishwa .
Kwenye ziti la kondoo akishaingia Simba aliyejivika ngozi ya kondoo lazima kondoo watawanyike..
 
Yaani kilio kipo Usharika wa Temeke Wailes. Yaani mchungaji na watendaji wake hawakai. Yaani hata majina Yao siku hizi hatutaki kuweka kichwani maana ukilifahamu jina kesho kutwa hayupo. Kwa sasa Usharika hakuna mchungaji. Usharika umewekwa chini ya Mkuu wa Jimbo la Kusini ambaye Kwa cheo na majukumu yake hawezi kukaa au kutoa huduma usharikani. Hivyo kukiwa na tukio anaazima mchungaji left right and centre kuja kutoa huduma. Naishauri Diosisi ifunge kabisa Usharika wa Temeke Wailes kama umewashinda. Yaani huyu Malasusa ni kwa nini asiondolewe kwa nguvu Tu? Hafai kabisa na skendo zake ni nyingi mno.

Na taratibu Usharika wa Temeke Wailes utakufa kama hatua za haraka hazitachukuliwa.
Sadaka mnakusanya bei gani hapo Temeke Wailes?
 
Back
Top Bottom