Kizuri Hakikosi Kasoro!!

Kizuri Hakikosi Kasoro!!

Acheni ushamba mleta mada sijui kala maharage ya wapi. sikuheshimu tena!

KIZURI DAIMA DUMU;;; hakina kasoro.hata moja na kitaendelea kuwa kizuri tu popote hapa Duniani. hizo kasoro unazoziona ni wewe muonaji ndo unazo tena dhaifu basi... eti msomi anakuona boya! haya! wewe ndo unajiona si kitu mbele zake amesha kuoa tu yatosha kukuthamini.....hata akikubeba mgongoni utasema ''ananifanyia research huyu bwana;; tayari unalianzisha na kusema
'' yaani mmm! umeacha kufanya study research kwa watu wooote hao waja kwangu jamani umenichoka ''

Tajiri naye vilevile akimzika baba yake kwa gharama za juu utaanza ''' mjomba yangu hajaambiwa kuhusu hii taarifa. huyu bwana ana dharau sana.unasononekaaaa! lkn yeye anadunda tu kusaka noti. jioni akirudi umejikunyatta.

SULUHISHO SASA ;;kama unaona hao unaowaita wana kasoro waache waende zao; na mali zao watakutana wasomi kwa wasomi, tajiri kwa tajiri wachache kama mimi ambao tumeoa BRITISH ROYAL FAMILY. tuna raha sana akifoka na mimi nafoka,af tunapena sorry ya kizungu, ngoma draw. si amenipenda bana sasa. mnachefua sana.
yesu alisema "hakuna mkamilifu chini ya jua, ila mungu pekee,

sasa mbna povu linakutoka kama umelishwa mafwii?!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Siku zote MWANAMKE hawezi kumpata Mwanaume aliye mkamilifu maana tupo aina tofauti tofauti.
  1. Ukimpata Handsome_Kichwa chake ni empty.
  2. Ukimpata Genius_Yuko serious masaa 24 na wengi huwa hawako romantic, hawajipendi kihiivyo, wako rafu mno.
  3. Ukimpata Tajiri_ Hawezi kukuheshimu full madharau, utamwambia nini wakati hela anayo bana.
  4. Ukimpata Mfanyakazi hodari_ Hana muda wa kuwa karibu na wewe, muda wote anawaza kazi na kutafuta maisha/pesa.
  5. Ukimpata mnyenyekevu_ Mfukoni huwa ni 0% au salio halisomi
  6. Ukimpata anayekupenda kwa dhati_ Anakuwa siyo type yako, yaani hana sifa unazozitaka, au hana muonekano ule unaoutaka wewe.
  7. Ukimpata msomi_ Hasikilizi ushauri wako anakuona boya tu, huna point za maana mbele yake.
  8. Ukimpata yule Smart_ Ni muongo kupita kiasi na play boy.
Kwahiyo ridhika na yule umpataye na jitahidi kurekebisha mapungufu yaliyopo
Mkuu mpe credit yake aliyetunga, ishazunguka sana katika whatsapp hii kitu
Ila wamekuelewa

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom