Kiza hutengeneza maumbo?

Kuna ukweli hapa, huwa tunajitekenya na kucheka wenyewe!
 
Hii nimindset ya waganga wanatumia kukula vinoti vyako.

Nimewahi kuwa kuli wa mganga Dar miaka fulani ujob-Less sio poa,mimi na mganga wangu wote tulikuwa maprosoo tu hamna kitu ila kuku tulikuwa tunakula daily,mama mwenye nyumba alikuwa anafahamu kama sisi majambazi.

Lakini alikuwa anatupenda sana kwasababu uhakika wa kula kuku daily ulikuwepo ilifika kipindi hata kodi akawa hadai kabisa

# Asikwambie mtu kitu mganga wa kweli ni mungu pekee,na kwa waganga wetu hawa wa kigoma amini unavyokwenda ndivyo jinsi unavyopokelewa.
 
# Asikwambie mtu kitu mganga wa kweli ni mungu pekee,na kwa waganga wetu hawa wa kigoma amini unavyokwenda ndivyo jinsi unavyopokelewa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…