Kiza hutengeneza maumbo?

 
Mtoto wangu anakubwa sana na tatizo hilo,LA kuota ndoto za kutisha.
KUAZI LEO NITAMUAMBIA ASIZIME TAA KABISA
ASANTE KWA UZI HUU.
 
Mtoto wangu anakubwa sana na tatizo hilo,LA kuota ndoto za kutisha.
KUAZI LEO NITAMUAMBIA ASIZIME TAA KABISA
ASANTE KWA UZI HUU.
Uwe unampaka kitunguu saumu na ndimu kwenye paji la uso kifuani na viganjani
 
ni kweli ila katka kuwaza yesu huenda akaja yule alieekti filam mzungu
 
Baadhi ya mawazo/picha za gizani huwa fursa. Hili ni somo refu imagination, Idealism and realism
 
Ahsante sana mkuu Mshana JR umenifumbua kwa kiaisi fulani japo mada ni ya muda mrefu!
 
Ahsante sana mkuu Mshana JR umenifumbua kwa kiaisi fulani japo mada ni ya muda mrefu!
Mzee baba,una mambo mengi
 

Dah
 
Ya saa hii.. Hii je unaona nini?

Jr
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…