DCONSCIOUS
JF-Expert Member
- Oct 4, 2010
- 1,269
- 473
Kataya kiwiri ni moja ya kata iliyopo mkoani mbeya wirayani Rungwe tangu tupate uhuru ilikuwa chini ya ccm mpaka siku ambayo diwani wake Mwankenja alipo uwawa .Kumekuwa na uchaguzi mdogo katika kata hiyo ambapo. Ushindani haupo tena kwani chama cha chadema kimezidi kukubarika na ccm kinazidi kupotea. Sababu nihizi hapa.
1. Kata ya kiwira imekuwa na ushuru mkubwa sokoni kuliko kata ya Mpuguso inayo ongozwa na Chadema. Hii ni mtaji kwa chadema. 2.Diwani aliye pita alikua hana ushilikiano mzuri na wananchi. 3. Wamekua wakitoza michango mikubwa shule za kata kama elfu kumi wakati kata inayo ongonzwa na chadema ya mpuguso mchango wa shulr hauzidi elfu 3.
YANAYO JITOKEZA KWENYE KAMPENI.
1.Uzinduzi wa chadema ulifana sana huku makamanda kama Mwampamba aliyegombea mbozi magharibi,mwenyekiti bavicha mkoa wa mbeya scafunje, Mzee wa upako , pamoja na Mbunge wa vitimaalumu toka mpanda Anna malaki. waliuteka mji wa kiwira na kuacha sumu ambayo ccm wameshindwa kuitoa.
2.CCM walizindua jana kampeni zao lakini ziliingia dosari kwani kabla ya uzinduzi walienda kwenye sehemu ya chadema ili kuzuia msafara wa chadema kwa kuweka magogo barabarani hali iliyo zua vurugu lakini nguvu ya umma ilijipambanua mpaka mbunge wa chadema mama malaki alipo toka kuwatuliza wana nchi huku wabunge wa ccm wakiwa wamejificha kwenye ma VX yao .
3. CCM walichukua maderva wa boda boda na kuwawekea mafuta lita tatu tatu na elfu 250 kila dereva wa boda boda ambao walilazimisha kwa shinikizo la kufungiwa kuendesha bada boda kama wange kataa kushiliki.
Wakati wa msafara wa CCM Bodaboda mmoja aligongwa na gali na kufariki hapo hapo
DOSARI KWA CCM
1.Baada ya ajari viongozi wa ccm hawa kusimama bali waliendelea na msafara
2.Hata daktari mwakyusa hakusimama kutoa huduma ya kwanza kama dokta
3. Mkutano uliendelea kama kawaida japokuwa ulikuwa umeudhuliwa na viongozi tu na bedi ya TOT plus
4. Katika kufuta hilo walamua kuchangia fedha eti za kumuona majerui bila hata kujua kuwa alikuwa amekufa pale pale
5..Kwasababu alikufa kwenye msafar awa CCM huku akiwa amejifunga kilemba cha CCM habari zimeenea kuwa CCM wameamua kumfanyia kafara . Hii imezidi kuwachafua
6. Mpaka sasa CHADEMA ina asilimia 90 ya ushindi japokuwa Zitto na Sugu bado hawajafika
MAPUNGUFU CHADEMA
1. Kuna upungufu mkubwa wa bendera hasa kwa boda boda
Ntazidi kuwapa update kila tukio
1. Kata ya kiwira imekuwa na ushuru mkubwa sokoni kuliko kata ya Mpuguso inayo ongozwa na Chadema. Hii ni mtaji kwa chadema. 2.Diwani aliye pita alikua hana ushilikiano mzuri na wananchi. 3. Wamekua wakitoza michango mikubwa shule za kata kama elfu kumi wakati kata inayo ongonzwa na chadema ya mpuguso mchango wa shulr hauzidi elfu 3.
YANAYO JITOKEZA KWENYE KAMPENI.
1.Uzinduzi wa chadema ulifana sana huku makamanda kama Mwampamba aliyegombea mbozi magharibi,mwenyekiti bavicha mkoa wa mbeya scafunje, Mzee wa upako , pamoja na Mbunge wa vitimaalumu toka mpanda Anna malaki. waliuteka mji wa kiwira na kuacha sumu ambayo ccm wameshindwa kuitoa.
2.CCM walizindua jana kampeni zao lakini ziliingia dosari kwani kabla ya uzinduzi walienda kwenye sehemu ya chadema ili kuzuia msafara wa chadema kwa kuweka magogo barabarani hali iliyo zua vurugu lakini nguvu ya umma ilijipambanua mpaka mbunge wa chadema mama malaki alipo toka kuwatuliza wana nchi huku wabunge wa ccm wakiwa wamejificha kwenye ma VX yao .
3. CCM walichukua maderva wa boda boda na kuwawekea mafuta lita tatu tatu na elfu 250 kila dereva wa boda boda ambao walilazimisha kwa shinikizo la kufungiwa kuendesha bada boda kama wange kataa kushiliki.
Wakati wa msafara wa CCM Bodaboda mmoja aligongwa na gali na kufariki hapo hapo
DOSARI KWA CCM
1.Baada ya ajari viongozi wa ccm hawa kusimama bali waliendelea na msafara
2.Hata daktari mwakyusa hakusimama kutoa huduma ya kwanza kama dokta
3. Mkutano uliendelea kama kawaida japokuwa ulikuwa umeudhuliwa na viongozi tu na bedi ya TOT plus
4. Katika kufuta hilo walamua kuchangia fedha eti za kumuona majerui bila hata kujua kuwa alikuwa amekufa pale pale
5..Kwasababu alikufa kwenye msafar awa CCM huku akiwa amejifunga kilemba cha CCM habari zimeenea kuwa CCM wameamua kumfanyia kafara . Hii imezidi kuwachafua
6. Mpaka sasa CHADEMA ina asilimia 90 ya ushindi japokuwa Zitto na Sugu bado hawajafika
MAPUNGUFU CHADEMA
1. Kuna upungufu mkubwa wa bendera hasa kwa boda boda
Ntazidi kuwapa update kila tukio