Kiwira Kata nyingine kuangukia chadema.

DCONSCIOUS

JF-Expert Member
Oct 4, 2010
1,269
473
Kataya kiwiri ni moja ya kata iliyopo mkoani mbeya wirayani Rungwe tangu tupate uhuru ilikuwa chini ya ccm mpaka siku ambayo diwani wake Mwankenja alipo uwawa .Kumekuwa na uchaguzi mdogo katika kata hiyo ambapo. Ushindani haupo tena kwani chama cha chadema kimezidi kukubarika na ccm kinazidi kupotea. Sababu nihizi hapa.
1. Kata ya kiwira imekuwa na ushuru mkubwa sokoni kuliko kata ya Mpuguso inayo ongozwa na Chadema. Hii ni mtaji kwa chadema. 2.Diwani aliye pita alikua hana ushilikiano mzuri na wananchi. 3. Wamekua wakitoza michango mikubwa shule za kata kama elfu kumi wakati kata inayo ongonzwa na chadema ya mpuguso mchango wa shulr hauzidi elfu 3.
YANAYO JITOKEZA KWENYE KAMPENI.
1.Uzinduzi wa chadema ulifana sana huku makamanda kama Mwampamba aliyegombea mbozi magharibi,mwenyekiti bavicha mkoa wa mbeya scafunje, Mzee wa upako , pamoja na Mbunge wa vitimaalumu toka mpanda Anna malaki. waliuteka mji wa kiwira na kuacha sumu ambayo ccm wameshindwa kuitoa.
2.CCM walizindua jana kampeni zao lakini ziliingia dosari kwani kabla ya uzinduzi walienda kwenye sehemu ya chadema ili kuzuia msafara wa chadema kwa kuweka magogo barabarani hali iliyo zua vurugu lakini nguvu ya umma ilijipambanua mpaka mbunge wa chadema mama malaki alipo toka kuwatuliza wana nchi huku wabunge wa ccm wakiwa wamejificha kwenye ma VX yao .
3. CCM walichukua maderva wa boda boda na kuwawekea mafuta lita tatu tatu na elfu 250 kila dereva wa boda boda ambao walilazimisha kwa shinikizo la kufungiwa kuendesha bada boda kama wange kataa kushiliki.
Wakati wa msafara wa CCM Bodaboda mmoja aligongwa na gali na kufariki hapo hapo

DOSARI KWA CCM
1.Baada ya ajari viongozi wa ccm hawa kusimama bali waliendelea na msafara
2.Hata daktari mwakyusa hakusimama kutoa huduma ya kwanza kama dokta
3. Mkutano uliendelea kama kawaida japokuwa ulikuwa umeudhuliwa na viongozi tu na bedi ya TOT plus
4. Katika kufuta hilo walamua kuchangia fedha eti za kumuona majerui bila hata kujua kuwa alikuwa amekufa pale pale
5..Kwasababu alikufa kwenye msafar awa CCM huku akiwa amejifunga kilemba cha CCM habari zimeenea kuwa CCM wameamua kumfanyia kafara . Hii imezidi kuwachafua
6. Mpaka sasa CHADEMA ina asilimia 90 ya ushindi japokuwa Zitto na Sugu bado hawajafika

MAPUNGUFU CHADEMA
1. Kuna upungufu mkubwa wa bendera hasa kwa boda boda



Ntazidi kuwapa update kila tukio
 
Kaka vipi uwezekano wa picha kuthbitisha maneno yako? Tumia hata kamchina utupie updates hapa.
 
Kataya kiwiri ni moja ya kata iliyopo mkoani mbeya wirayani Rungwe tangu tupate uhuru ilikuwa chini ya ccm mpaka siku ambayo diwani wake Mwankenja alipo uwawa .Kumekuwa na uchaguzi mdogo katika kata hiyo ambapo. Ushindani haupo tena kwani chama cha chadema kimezidi kukubarika na ccm kinazidi kupotea. Sababu nihizi hapa.
1. Kata ya kiwira imekuwa na ushuru mkubwa sokoni kuliko kata ya Mpuguso inayo ongozwa na Chadema. Hii ni mtaji kwa chadema. 2.Diwani aliye pita alikua hana ushilikiano mzuri na wananchi. 3. Wamekua wakitoza michango mikubwa shule za kata kama elfu kumi wakati kata inayo ongonzwa na chadema ya mpuguso mchango wa shulr hauzidi elfu 3.
YANAYO JITOKEZA KWENYE KAMPENI.
1.Uzinduzi wa chadema ulifana sana huku makamanda kama Mwampamba aliyegombea mbozi magharibi,mwenyekiti bavicha mkoa wa mbeya scafunje, Mzee wa upako , pamoja na Mbunge wa vitimaalumu toka mpanda Anna malaki. waliuteka mji wa kiwira na kuacha sumu ambayo ccm wameshindwa kuitoa.
2.CCM walizindua jana kampeni zao lakini ziliingia dosari kwani kabla ya uzinduzi walienda kwenye sehemu ya chadema ili kuzuia msafara wa chadema kwa kuweka magogo barabarani hali iliyo zua vurugu lakini nguvu ya umma ilijipambanua mpaka mbunge wa chadema mama malaki alipo toka kuwatuliza wana nchi huku wabunge wa ccm wakiwa wamejificha kwenye ma VX yao .
3. CCM walichukua maderva wa boda boda na kuwawekea mafuta lita tatu tatu na elfu 250 kila dereva wa boda boda ambao walilazimisha kwa shinikizo la kufungiwa kuendesha bada boda kama wange kataa kushiliki.
Wakati wa msafara wa CCM Bodaboda mmoja aligongwa na gali na kufariki hapo hapo

DOSARI KWA CCM
1.Baada ya ajari viongozi wa ccm hawa kusimama bali waliendelea na msafara
2.Hata daktari mwakyusa hakusimama kutoa huduma ya kwanza kama dokta
3. Mkutano uliendelea kama kawaida japokuwa ulikuwa umeudhuliwa na viongozi tu na bedi ya TOT plus
4. Katika kufuta hilo walamua kuchangia fedha eti za kumuona majerui bila hata kujua kuwa alikuwa amekufa pale pale
5..Kwasababu alikufa kwenye msafar awa CCM huku akiwa amejifunga kilemba cha CCM habari zimeenea kuwa CCM wameamua kumfanyia kafara . Hii imezidi kuwachafua
6. Mpaka sasa CHADEMA ina asilimia 90 ya ushindi japokuwa Zitto na Sugu bado hawajafika

MAPUNGUFU CHADEMA
1. Kuna upungufu mkubwa wa bendera hasa kwa boda boda



Ntazidi kuwapa update kila tukio

Natoa pole kwa wafiwa na watu wote walioguswa na msiba wa kijana wa bodaboda. Kiukweli CCM hawafai na kata hiyo ikichukuliwa basi litakuwa ni fundisho tosha.
 
Tunataka mtuwekee picha halisi, isiwe picha za kuchakachua kama zile za ccm za arumeru

Watu wanaweka picha za JK alipokuwa anazindua kampeni zake mikoani kisha wanasema USA, idadi ya watu waliohudhuria ni wengi kuliko idadi ya wakazi.
 
Mhe Zitto, Sugu, Mchungaji Msigwa, Chacha Mwita na Uongozi wa BAVICHA, kuna kazi ya ki-chama Kiwira inawasubirini kule
 
Poleni sana kwa msiba. Ni matumaini yangu kuwa mtaweka siasa pembeni katika hili suala la msiba. Ajali ilitokea eneo gani hasa. Ni Hii njia kuu kati ya Nyibuko na Tandale? ni kwenye hii njia ya Igogwe? au Kibarabara cha Ilundo! Ni wapi hasa na marehemu ni mtoto wa nani? Poleni sana. Tutakuwa pamoja nanyi kiroho. Chadema na CCM ni watoto wa baba mmoja. Moyo wangu utafarijika sana nikisikia wote mumeshiriki katika kumzika huyu kijana wetu.
 
Kataya kiwiri ni moja ya kata iliyopo mkoani mbeya wirayani Rungwe tangu tupate uhuru ilikuwa chini ya ccm mpaka siku ambayo diwani wake Mwankenja alipo uwawa .Kumekuwa na uchaguzi mdogo katika kata hiyo ambapo. Ushindani haupo tena kwani chama cha chadema kimezidi kukubarika na ccm kinazidi kupotea. Sababu nihizi hapa.
1. Kata ya kiwira imekuwa na ushuru mkubwa sokoni kuliko kata ya Mpuguso inayo ongozwa na Chadema. Hii ni mtaji kwa chadema. 2.Diwani aliye pita alikua hana ushilikiano mzuri na wananchi. 3. Wamekua wakitoza michango mikubwa shule za kata kama elfu kumi wakati kata inayo ongonzwa na chadema ya mpuguso mchango wa shulr hauzidi elfu 3.
YANAYO JITOKEZA KWENYE KAMPENI.
1.Uzinduzi wa chadema ulifana sana huku makamanda kama Mwampamba aliyegombea mbozi magharibi,mwenyekiti bavicha mkoa wa mbeya scafunje, Mzee wa upako , pamoja na Mbunge wa vitimaalumu toka mpanda Anna malaki. waliuteka mji wa kiwira na kuacha sumu ambayo ccm wameshindwa kuitoa.
2.CCM walizindua jana kampeni zao lakini ziliingia dosari kwani kabla ya uzinduzi walienda kwenye sehemu ya chadema ili kuzuia msafara wa chadema kwa kuweka magogo barabarani hali iliyo zua vurugu lakini nguvu ya umma ilijipambanua mpaka mbunge wa chadema mama malaki alipo toka kuwatuliza wana nchi huku wabunge wa ccm wakiwa wamejificha kwenye ma VX yao .
3. CCM walichukua maderva wa boda boda na kuwawekea mafuta lita tatu tatu na elfu 250 kila dereva wa boda boda ambao walilazimisha kwa shinikizo la kufungiwa kuendesha bada boda kama wange kataa kushiliki.
Wakati wa msafara wa CCM Bodaboda mmoja aligongwa na gali na kufariki hapo hapo

DOSARI KWA CCM
1.Baada ya ajari viongozi wa ccm hawa kusimama bali waliendelea na msafara
2.Hata daktari mwakyusa hakusimama kutoa huduma ya kwanza kama dokta
3. Mkutano uliendelea kama kawaida japokuwa ulikuwa umeudhuliwa na viongozi tu na bedi ya TOT plus
4. Katika kufuta hilo walamua kuchangia fedha eti za kumuona majerui bila hata kujua kuwa alikuwa amekufa pale pale
5..Kwasababu alikufa kwenye msafar awa CCM huku akiwa amejifunga kilemba cha CCM habari zimeenea kuwa CCM wameamua kumfanyia kafara . Hii imezidi kuwachafua
6. Mpaka sasa CHADEMA ina asilimia 90 ya ushindi japokuwa Zitto na Sugu bado hawajafika

MAPUNGUFU CHADEMA
1. Kuna upungufu mkubwa wa bendera hasa kwa boda boda



Ntazidi kuwapa update kila tukio
Nimwfurahishwa sana kwa jinsi ulipangilia mambo yako vizuri. Pigeni kampeni bila vurugu tafadhalini.
 
Poleni sana kwa msiba. Ni matumaini yangu kuwa mtaweka siasa pembeni katika hili suala la msiba. Ajali ilitokea eneo gani hasa. Ni Hii njia kuu kati ya Nyibuko na Tandale? ni kwenye hii njia ya Igogwe? au Kibarabara cha Ilundo! Ni wapi hasa na marehemu ni mtoto wa nani? Poleni sana. Tutakuwa pamoja nanyi kiroho. Chadema na CCM ni watoto wa baba mmoja. Moyo wangu utafarijika sana nikisikia wote mumeshiriki katika kumzika huyu kijana wetu.

hapo kwenye kushirikiana kuzika ndo umeharibu,kwani kwenye kuua walishirikiana?
 
nakumbuka siku moja nilipita pale Kiwira niliongea sana na vijana wale, walinihakikishia kuwa wao ni damu damu na CDM walisema walikuwa CUF na wameamua kwa kauli moja kuzifunga hizo za KAFU na kufungua za CDM

Wale vijana walininiambia kuwa kwa sasa Mjini(Mbeya Mjini ) ndiyo wame lala na siyo wao kimsingi tulijadili mengi sana

Hongera CHADEMA twanga kotekote
 
Big up kw wote huko, kina Mwakajila, Mwampamba, Shonza.... komaeni mpaka kieleweke:violin:
 
Nimwfurahishwa sana kwa jinsi ulipangilia mambo yako vizuri. Pigeni kampeni bila vurugu tafadhalini.
Hawani Wanyakyusa wakisema NO ni NO ya ukweli hawabadili hata kampeni zisipo pigwa kwa maelezo haya jamaaa hawana chao huko

kumbuka jinsi akina Mwandosya wanavyo pita bila kupingwa ni kwa sababu ya misimamo ya hawa watu wanapo ona wanamkubali mtu
 
Ile kauli ya JK ya kuwa hivi ni VYAMA VYA MSIMU sasa inamrudi. Huu uamsho uliopo sasa unatosha kabisa kuirudisha hii nchi mikononi mwa wenye nayo kama Tume ya uchaguzi itakuwa huru
 
SWAFIIIIIIIIIIIIII sana hao watu wanaelewa na wanajitambia embu toeni elimu kwa maderava wa bodaboda waachane na hao wauaji yaani ajali inatokea wanashindwa kusimama halafu watataka muwape kura nyie watu wa huko Mbeya Arusha na Mwanza naona mutatuongoza mutatuongoza kwenye mageuzi ya kweli
 
Back
Top Bottom