Kiwewe cha CCM kinaipaisha CHADEMA!

Kiwewe cha CCM kinaipaisha CHADEMA!

hiki chama bila kurudi mikononi mwa wazee basi CDM inachukua nchi kiulaini kabisa; sasa na sisi tusiandike andike hivi maana tuta-wastua mapema.

unatuamsha utupe dawa ya usingizi.
 
Nape ni Jembe!!lol..Vijana wamepewa uongozi maana hawataki kuongozwa na wazee...Tena Nape awe mwenyekiti na Mwigulu Katibu..
 
kazi ipo...Tanzania hakuna udini...bali harakati za watu wa dini Fulani kudai baadhi ya haki zao,nakama gvt ndo aliepewa dhamana ya kutatua matatizo na kuondoa kero za watu wake...tatizo wadaiwa haki wanaacha kutatua kero wanasukumia mzigo huo wa lawama watu wengine,cuf iliwahi ambiwa hivo hivo,hizi ni nyakati za mwisho za cccm,mara wanataka mgombea binafsi,mara matokeo ya urais yapingwe mahakamani na mara mikutano ya siasa na maandamano ipigwe marufuku hadi uchaguzi,,,,mara kubambikia case wana cdm mara kutesa watu na kutoa kucha,,,ni dalili tu maafa zaidi yaja ili tu wasiondoke.
 
Chama hiki kina washauri? Washauri wenyewe ni kina Nape na Mwigulu? Kama ni hao chama kimefilisika kiasi hicho?
Akina Mangula na Kinana wanakuwa wapi wakati chama kinafanya makosa ya kijinga na kitoto namna hii?

Wapo bize na shughuli za uwindaji na usafirishaji wa meno na pembe za tembo.
 
CCM wamesaidia sana kuenea kwa CHADEMA kwa siku za karibuni...
Hata vijijini ambako walikuwa hawaisikii CDM, siku hizi imekuwa ndiyo stori za vijiweni kwa sababu ya kazi kubwa inayofanywa na Nape na Mwigulu...

Niliwahi kuzungumzia humu JF juu ya AGANO LA MUNGU but nikapondwa na baadhi wa watumishi wa pale LUMUMBA LLC. Kama Mungu anataka agano lake litimie, litatimia tu hata kama mwanandamu ataweka upinzani wa namna gani. Mungu anaruhusu vitu vingine kutokea thru CCM wakiamini kuwa ndiyo wanaua CDM kumbe ndiyo inasaidia wananchi wengi kutafuta ukweli wa huyu mdudu CHADEMA. Wananchi wengi wanataka kujua CHADEMA ni nini and WHY CHADEMA exists. Nitatukanwa but ukweli utabaki palepale kuwa AGANO LITATIMIA TU.
 
Upo sahihi kamanda,Kinana yupo busy kibiashara,Mangula busy na my waifu wake mali mpya,wameacha nyumba kwa wala ndumu Mwigulu na Nape wanaiunguza.

Wakati mwenzie anahangaika na tembo wetu na meno yao mwenzake anahangaika kupasha my wifu wake mpya, kazi kweli kweli
 
Kiboko yao alikuwa ni Marando Mabere alipowaumbua watekaji, na kama kawaida yao Ccm wakaja na utetezi 'kipumbavu' eti kuingilia mawasiliano ya mtu ni kosa! Hivi huu ni upungufu wa umakini kiasi gani?????? Badala ya kuwaondoa watuhumiwa katika tope hili, eti kuingilia mawasiliano ya mtu ni kosa!!!!

Bila kujua walipoleta huu utetezi wakasahau kuwa wanakubaliana na Marando kuwa kweli mawasiliano 'yale' yalifanyika!
 
udini utawaua magwanda bila siraha ni ukichaa

Ndugu umeona ule uzi wa jana huko Ndumbuli Mh. 1 rope amekwenda kumvua uenyekiti wa kijiji aliyechaguliwa akiwa na ndata kibao, leo tena huko Ruaha mwenyekiti wa kijiji amekabidhiwa madaraka POlisi na DED akiambatana na DC?
Nakukumbusha tu, Jitahidini Jahazi litazama
 
anadharula jimboni kwake si unajua jamaa yupo karibu na wapigakura wake sio kama mbowe kila siku mwongozo tu.

Leo ndo nimeamini hazikutoshi!!!Yaani walinganisha kichuguu na mlima Kilimanjaro???Chemba na Kamanda wa anga???Ama kweli yaweza kutubidi kutembea na karabai mchana kweupeee!!!
 
Mimi na wenzangu tumeshajiunga CHADEMA baada ya kuona katibu wetu wa NEC itikadi na uenezi nape nnauye anavyoropoka hovyohovyo kila siku kuhusu CHADEMA badala ya kueleza mafanikio ya chama chake kwa wananchi.CCM itasambaratika kabla ya 2015 tofauti na nape anavyoipigia ramli CHADEMA kwani wana washauri vilaza kama nape,mwigulu n.k
 
Yuko studio anatengeneza movie nyingine
Zile nyingine zimechuja.

bloggie.jpg

tukae mkao wa kula hii itakuwa kabambe zaidi na anguko lao

Hivi Mwigulu yupo hapa Tanzania.?
Maana simsikii bungeni uraiani hata kwenye mitandao.!!
 
Nape anakiua chama chake jamani, nimeshuhudia maelfu ya wananchi waliokuwa ccm wakijiunga CHADEMA nikiwemo mimi kutokana na kuropoka hovyohovyo hasa kuhusu CHADEMA badala ya kuwaeleza wananchi mafanikio ya chama chake.Kila ninapomsikia mimi asilimia 90 ya hotuba zake ni kuikejeli CHADEMA ,katibu gani huyu kwa chama kikongwe kama ccm? Kwa hali ninayoiona ccm itasambaratika kabla ya 2015 tofauti na nape anavyoipigia ramli CHADEMA.
 
Back
Top Bottom