kiwanja.

kiwanja.

Mateka

Senior Member
Joined
May 2, 2011
Posts
131
Reaction score
41
Wandugu kwa makadirio ya sasa kiwanja cha 40X40 naweza kupata wapi kwa bei nzuri na ya chini kabisa.?
 
quote_icon.png
By Iyokopokomayoko
Nahitaji hicho cha milioni 3 mkuu pia kiwe kimepimwa na nataka maeneo ya mbezi beach Dar.

Watu mna ndoto za ajabu sana!!

Hakika.....

[TABLE="width: 95%, align: center"]
[TR]
[TD="width: 26%, align: center"] [/TD]
[TD="align: left"]Ref.: 108A Mbezi Beach - Dar es Salaam

for Sale

2000Sqm located at Rainbow,Mbezi. It`s the second plot from the beach. Easily accessible.... view more information
400,000,000 TzSh [/TD]
[/TR]
[/TABLE]
 
Watu mna ndoto za ajabu sana!!

Sasa Kweli mtu mwenye uelewa wa mambo anataka Kiwanja chenye Title Mbezi beach ana Mil 3!!! me nimemsaidia kupata hicho huko LITAPWASI...KWA BEI YA MIL 3
 
Wandugu kwa makadirio ya sasa kiwanja cha 40X40 naweza kupata wapi kwa bei nzuri na ya chini kabisa.?

Subiri kipindi cha masika utaweza nunua kiwanja kwa bei nafuu mno haswa sehemu za mabondeni...
 
Sasa Mkuu mtu anauliza bei ya kiwanja bila kusema ni mkoa au maeneo gani anataka, unadhani bei ya Songea ni sawa na ya Mwanza? ndiyo maana nikaingiza utani huo. Yeye anauliza bei kwa mkoa gani, maeneo gani, chenye hati au kisicho na hati. Nadhani mtakuwa mmenielewa sasa.

Hahahah....kuna raia mna masikhara sana!! si ajabu hapo ukataka na chenji ibaki
 
Hahaha mimi nilikuelewa ndio maana nikaishia kucheka tu!!

Sasa Mkuu mtu anauliza bei ya kiwanja bila kusema ni mkoa au maeneo gani anataka, unadhani bei ya Songea ni sawa na ya Mwanza? ndiyo maana nikaingiza utani huo. Yeye anauliza bei kwa mkoa gani, maeneo gani, chenye hati au kisicho na hati. Nadhani mtakuwa mmenielewa sasa.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom