Plot Inauzwa - Inaangaliana na St Joseph University Luguruni

Plot Inauzwa - Inaangaliana na St Joseph University Luguruni

Mutensa

JF-Expert Member
Joined
Feb 20, 2009
Posts
421
Reaction score
92
Nauza plot. Iko Mbezi Luguruni upande wa kushoto wa morogoro rd kama uaenda morogoro.
Specs:
a. ni kama mita 500 kutoka morogoro road.
b. lina umeme karibu
c. maji ya dawasco yako karibu
d. ukubwa 22mx44m (mita - sio miguu)
e. barabara inafika site sio kuanza kuomba kwa majirani pa kupitisha gari.
f. ni mahali muafaka kwa ujenzi wa appartment kwa ajili ya wanachuo kama unataka biashara hiyo.
Bei 30M tu.
Anayehitaji ani-pm.
Mie mwenyewe ndio muuzaji kwa hiyo hakuna hela ya udalali kwenye biashara hii.
 
Nauza plot. Iko Mbezi Luguruni upande wa kushoto wa morogoro rd kama uaenda morogoro.
Specs:
a. ni kama mita 500 kutoka morogoro road.
b. lina umeme karibu
c. maji ya dawasco yako karibu
d. ukubwa 22mx44m (mita - sio miguu)
e. barabara inafika site sio kuanza kuomba kwa majirani pa kupitisha gari.
f. ni mahali muafaka kwa ujenzi wa appartment kwa ajili ya wanachuo kama unataka biashara hiyo.
Bei 30M tu.
Anayehitaji ani-pm.
Mie mwenyewe ndio muuzaji kwa hiyo hakuna hela ya udalali kwenye biashara hii.

Mkuu hilo eneo lote si liko under project?, nadhani kuna road reserve na plan ya mji mpya
 
Mkuu hilo eneo lote si liko under project?, nadhani kuna road reserve na plan ya mji mpya
Mkuu nenda Tanroads ulizia document za barabara na mipangilio. Road reserve iko wazi inaeleweka haifikii hata mita 200. hili eneo liko mita 500 kutoka main road.
FYI - mji mpya unaanzia Luguruni makondeko mpaka mbele kidogo ya kibamba hospitali upande huo huo wa kushoto na ukiulizia utafahamishwa maana hii si kitu ya kubahatisha.
 
Mkuu nenda Tanroads ulizia document za barabara na mipangilio. Road reserve iko wazi inaeleweka haifikii hata mita 200. hili eneo liko mita 500 kutoka main road.
FYI - mji mpya unaanzia Luguruni makondeko mpaka mbele kidogo ya kibamba hospitali upande huo huo wa kushoto na ukiulizia utafahamishwa maana hii si kitu ya kubahatisha.

Mkuu nalifahamu sana hilo eneo, labda unishawishi kivingine lakini kuna matatizo sana hilo eneo
 
Mkuu nalifahamu sana hilo eneo, labda unishawishi kivingine lakini kuna matatizo sana hilo eneo

Mkuu ingekuwa vyema kama ni mnunuzi ukafika na kuelekezwa vizuri. Isitoshe, unaruhusiwa kufanya clearance na mamlaka husika kabla hujanunua. Tafandhari tujitahidi kuwa na mtazamo chanya itatusaidia kusonga mbele.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom