Kiwanja Miguu 20*20 Bunju

Kiwanja Miguu 20*20 Bunju

mojoki

JF-Expert Member
Joined
Oct 21, 2010
Posts
1,313
Reaction score
291
Hello guys msaada wa mawazo tafadhali

Kuna mtu ataka niuzia kiwanja maeneo ya Bunju, Size ya kiwanja ni Miguu 20*20, Bei ni Tshs 5,000,000

Is it reasonable?

Please advice

thanks in advance!
 
...i dont think if it is reasonable, just cross check places (posts) here in JF utaona bei za viwanja vya size hiyo, size mbalimbali na location zake then you will take it from there.
 
u reasonable wa bei unategemeana na location yenyewe ya kiwanja, mazingira yanayoizunguka, miundombinu na huduma muhimu za kijamii zilizopo maeneo ya husika. Hivyo kwa wewe ambaye umefika location husika utakuwa kwenye nafasi nzuri ya kupima!
 
Hicho kieneo unataka kufanyia nini?. Je ni eneo zuri kwa biashara?.
 
Hiyo mil 5 yako nenda "kiaraka" ni mbele kidogo ya bunju utapata eneo kubwa achana na 20*20 mm nimepata kiwanja chenye mita 35*35 kwa ml 7 ni eneo kubwa liko tambalale umeme ndio wanaweka maji ya dawasco yapo
 
Hiyo mil 5 yako nenda "kiaraka" ni mbele kidogo ya bunju utapata eneo kubwa achana na 20*20 mm nimepata kiwanja chenye mita 35*35 kwa ml 7 ni eneo kubwa liko tambalale umeme ndio wanaweka maji ya dawasco yapo
Nimeipenda hii.
Nitakuwa mpangaji wako soon i guess.
 
Back
Top Bottom