Kiwanja Kinauzwa

Kiwanja Kinauzwa

upatikanaji wa maji vipi huko sio shida sna?

Maji yapo ya visima,dawasco magari Lita 1000 kwa 10,000 pia mabomba ya dawasco yamekaribia kufika.Umeme nguzo inapakana nakiwanja so unashusha waya tu.
 
Maji yapo ya visima,dawasco magari Lita 1000 kwa 10,000 pia mabomba ya dawasco yamekaribia kufika.Umeme nguzo inapakana nakiwanja so unashusha waya tu.

okay tuta wasiliana mkuu early january.
 
Karibu kwa mwenye uhitaji Wa kiwanja Dar es Salaam,kipo Salasala-Kinzudi.Ukubwa square mita 800, umeme upo na nguzo ya umeme iko jirani kabisa na kiwanja.Pamejengeka na nieneo linalokuwa kwa kasi.Hakijapimwa ila mchakato umeshanza tunapima wakazi Wa eneo kwa pamoja natumesha changa hela kwa hatua ya awali. BEI milioni 12.
0769 222 882
Pia twaweza zungumza kwa wale wa sqr mita 400.

Picha hizi hizi zimetumika kwenye tangazo la kiwanja kingine.........................
 
Siyo kingine nihicho hicho mtoa tangazo mmoja iweje kiwe kingine sema post nyingine labda.

hizo picha nimeona unazitumia kunadi kiwanja cha goba huku watuambia kiwAnja kipo salasala which is which?
 
hizo picha nimeona unazitumia kunadi kiwanja cha goba huku watuambia kiwAnja kipo salasala which is which?

Umewahi fika Kinzudi? Nijuu ya Salasala na Mbezi beach juu ila kiserikali ni KATA ya Goba anyway anaye hitaji hupenda zaidi kufika eneo husika badala ya kusimuliwa pekee
 
Kwa wale wanaotaka kufika, karibu nipo ila unanitarifu kwanza ili nipange ratiba.
 
Kimebaki cha 20x20 sawa na sqr mita 400.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom