Kiwanja kinauzwa eneo la Sinza karibu na Shule ya Mapambano, kina fence. Ukubwa: 4000sqft, kinafaa kwa makazi au biashara. Bei ni maelewano baada ya kukiona. Piga 0767 591610. Dalali hatakiwi.
Yaani kaka yangu nitoke Chakwale huku Berega, Gairo nije kukiona ndio unipe bei kiongozi? Weka tu bei hapa iwe rahisi kwa watu kuamua mkuu, huku kwetu elfu 15 napata kiwanja na miti yote iliyomo ndani tena cha barabarani sasa nikija na hiyo picha kichwani mkuu si tutakwazana bure kisha!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.