Omulasil
JF-Expert Member
- May 5, 2015
- 8,174
- 10,445
Aah umefichaficha kumbe ni CHANIKA MWISJO. You could be straight from the begining. Any way umeeleweka mkuuSorry, kipo Chanika mwisho
Aah umefichaficha kumbe ni CHANIKA MWISJO. You could be straight from the begining. Any way umeeleweka mkuuSorry, kipo Chanika mwisho
ulifanya kosa mwanzoni kabisa ulipoweka tangazo, ulitoa majibu ya jeuri na inawezekana miongoni mwa uliowajibu wangeweza kununua ukumbuke wakati mwingine kuwa muungwana kwa unaowajua pamoja na usiowajua.Jamani hamtaki kuninunulia hichi kiwanja? , nipeni millions 4 tu, nikatatue shida zangu
Sijaona sehemu nilojibu jeuri mkuu, ila members wenyewe hawapo serious, jokes nyingi mnoulifanya kosa mwanzoni kabisa ulipoweka tangazo, ulitoa majibu ya jeuri na inawezekana miongoni mwa uliowajibu wangeweza kununua ukumbuke wakati mwingine kuwa muungwana kwa unaowajua pamoja na usiowajua.