wiseboy
JF-Expert Member
- Mar 22, 2011
- 2,930
- 3,310
Maamuzi zaidi mkuu,Maamuzi, njoo na 4.5 millions
2m
Maamuzi zaidi mkuu,Maamuzi, njoo na 4.5 millions




humu ndani kuna mamboDuh, ni vyuma kukaza ama? maana hizi hasira hapa zimevuka kiwango.KuCFu you! Mjumbe anaandika hati?!
Hizo herufi 5 za mwanzo, ni kwamba umeamua kufanya "rivasi" ili kupishana na kifute cha mods au umedhamiria kabisa ujumbe umfikie?KuCFu you! Mjumbe anaandika hati?!
Hahahaaa magufuli kabana kweli kila mtu anajaribu kua dalaliHabari,
Kiwanja kinauzwa, kipo karibu na kwa waziri wa fedha.
Kipo karibu na barabara,30×40.
Bei ;million 6, punguzo lipo.
Mawasiliano; 0786 382988.
Kwa walio serious tu.
Usichafue biashara za watu, nakuomba kaa kimyaWatu wa usalama hawa wanakuja na gia yao mpya ya kuwagundua watumiaji wa huu mtandao. Wameshindwa kuwatambua watu wanaowatafuta humu kwa kwa wanakuja na gia hii kuuza kiwanja kilichopo karibu na Waziri wa fedha! My foot! Ukimpgia simu tu bado id yako wanaifunua. Be careful ndugu zangu! Mijitu ya TISS imejaa kila kona humu. Hiyo namba ya simu aliyoiweka huenda ni ya kitengo.
Kipo posta?Habari,
Kiwanja kinauzwa, kipo karibu na kwa waziri wa fedha.
Kipo karibu na barabara,30×40.
Bei ;million 6, punguzo lipo.
Mawasiliano; 0786 382988.
Kwa walio serious tu.

Sehemu au mtaa kunaitwa kwa waziri wa fedha, au hujui kuna sehemu zinaitwa kwa rais?, sehemu zote zinasoitwa posta je kuna posta pale?
Samahani ndugu, kama ni Biashara ya kweli na unahitaji mnunuzi naomba radhi, nisamehe ndugu. Kuna makachero wengi sana humu wakijibandika kila aina ya kofia. Kila la kheri ktk kupata mnunuzi..samahani sana.Usichafue biashara za watu, nakuomba kaa kimya