Kiwanja Kinauzwa mbezi salasala/kinzudi

Kiwanja Kinauzwa mbezi salasala/kinzudi

Tembele

JF-Expert Member
Joined
Oct 1, 2011
Posts
1,154
Reaction score
350
Nimenunua kiwanja hapa mbezi Goba, jamaa aliyeniuzia anauza pia viwanja viwili , kimoja ni 40 kwa 40 sh milioni 5, na kingine 30 kwa 35 millioni. 3. Kama kuna mtu anahitaji. Hakuna dalali hapo unaongea na mwenye kiwanja mwenyewe. Kwa kuwa mi kaniuzia kwa bei nzuri nimemuahidi kumtafutia wateja wa hivyo viwanja vyake vingine. Viko karibu na barabara na umeme upo. Kwa details 0755252087.


Updates:

1. Kiwanaja cha mil 3 kimeshanunuliwa. Kimebaki pia hicho cha millioni 5. Na pia

2. Vipo viwili (25 kwa 25) kila kimoja mil 6. Angalia picha ya kiwanja. Kiko karibu na barabara na Umeme.

IMG00014-20130413-1633 (1).jpg
 
Tembele hivi viko Goba sehemu gani? Jee jamaa ana offer au ndio squatter?
 
Ngoffi nilikuwa church so simu huwa nazima, now niko available.

Kitu kingine ni kuwa mimi sio dalali, mimi nimenunua kiwanja, so ni veme ukaonana nae na ukaona ili ujue. Ona kiwanja, ongea na majirani na serikali za mtaa pia kama mimi nilivyofanya kabla ya kununua. (Kujiridhisha Muhimu).

Na anaweza kukuleta pia hata nilipouziwa, maana nimeshaanza ujenzi.
 
Mkuu umehakikisha si maeneo ya wazi? kuna mtu wangu wa karibu kalizwa huko alipewa issue na mtu kutoka manispaa kipindi cha nyuma kidogo na akajenga yuko hatua za mwisho sasa kufatilia hati anaambiwa na Wizara ya Ardhi kuwa ni eneo la wazi while jamaa wa manispaa anamwambia ramani ya manispaa ndio ya ukweli Wizara wanatumia ya zamani!!
Imeishia kumchanga jamaa na kashamwaga viela kibao vya mkopo!!

Fatilieni vizuri msipagawe mwishoni!!
 
Habari Mtazamo, Si Maeneo ya wazi, Ni Maeneo ya makazi. Hata hivyo mnunuzi pia anaweza kujiridhisha kwa kufuatilia katika mamlaka husika kabla ya kununua kama nilivyofanya mimi.
 
mie nimemtafuta kwa pm na simu hapatikani,kama havijauzwa basi ni utapeli...i smell something fishy
 
matapeli wengi na kila kukicha wanakuja na mbinu mpya
 
Back
Top Bottom