Kiwanja kinauzwa mbezi juu

Kiwanja kinauzwa mbezi juu

miley

Member
Joined
Aug 2, 2013
Posts
87
Reaction score
14
Eneo la mbezi juu karibu na kanisa la TAG mbuyun. Ukubwa upana hatua 20 kwa 30 umeme upo karibu maji kwa gari. Bei 6ml mapatano baada ya kuona. Cont. 0715500248
 
mbezi juu ya upande wa bagamoyo? am interested. mmiliki ni mmoja au familia? ikifika 5m natoa cash
 
Eneo la mbezi juu karibu na kanisa la TAG mbuyun. Ukubwa upana hatua 20 kwa 30 umeme upo karibu maji kwa gari. Bei 6ml mapatano baada ya kuona. Cont. 0715500248

Kakipime kwa Mita badala ya Hatua kisha urudi tena.
 
Kama hatua 20 ni sasa na mita 10 au 9 hapo unajenga nyumba ya vyumba 4 bas hata gari huwez kupak ni vema mtu ukajenga gorofa
 
mbezi juu ya upande wa bagamoyo? am interested. mmiliki ni mmoja au familia? ikifika 5m natoa cash

KIPO BARABARA YA B'MOYO. Ukipanda na njia ya goba pale samaki una fika mahala panaitwa kwa sanya utaelekezwa kanisa lilipo. Kiwanja ni changu nimekipunguza. Kama una nia uje.
 
Back
Top Bottom