habari wakuu, ndugu yangu anauza kiwanja ukubwa ni mita 22 x 25. Kipo mahali sio bondeni wala hakina slope sana, hakijapimwa bei 6 milion. Ni Mbezi juu unaingilia barabara ya Jogoo au kiwanda cha Chemicotex ila hufiki umbali wa baraza la mitihani. Wasiliana nae kwa simu 0715315145. Usini pm please siko uko kwasasa.