Kiwanja kinauzwa kwa bei ya kutupwa............

Kiwanja kinauzwa kwa bei ya kutupwa............

OgwaluMapesa

JF-Expert Member
Joined
May 24, 2008
Posts
10,942
Reaction score
437
Kipalang'anda mkuranga ukubwa 28 kwa 25


bei ni sh millioni moja na laki 2,,,,,,,


kipo karibu na barabara
 
Kutokea Mbagala Mkuranga ni km ngapi? Na nauli dala dala ni shs ngapi mkuranga hadi mbagala?
Asante
 
mbagala mkuranga km 30,,nauli mpk kiwanja kilipo ni gari moja tu 1,200 tu
 
Kwa mtu atakayependa mhakikishie kuwa hakuna mgogoro wa kiwanja hicho. Mimi nilishaumizwa mahali kwa staili hiyo, tena mkiti wa serikali ya mtaa, mtendaji na mjumbe wa nyumba kumi walinisainia wote. Lakini pia weka mawasiliano yako watu wakupate. Ni ushauri tu kwa sasa.
 
piga no hiyo 0712 85 66 82 hiko kiwanja hakina chenga kabisa mkuu ht km unahitaji ww njoo ukichukue tu na km unataka kwenda popote tuNDIKISHIANE twende
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom