Kiwanja kinauzwa kwa bei sawa na bure!!!!

Kiwanja kinauzwa kwa bei sawa na bure!!!!

King Mirambo

New Member
Joined
Sep 12, 2013
Posts
2
Reaction score
0
Kiwanja kipo maeneo ya ILALA,BUNGONI-DAR ES SALAAM
kwa maelezo zaidi piga namba 0754585298,0713844899
:israel:
 
Asante mkuu, ni vile tu sina hela ningekichukua mimi. Bei yako ni nzuri mno yaani kiwanja chenye ukubwa wa square metres 1200 kwa shilingi milioni mbili kwa kweli ni bei nzuri sawa na bure.

Atakae kichukua atafaidi sana, maana hayo maeneo ulivyoyaelezea ni mazuri mno kibiashara kutokana na population yake. Vp kuhusu title deeds ulisema itachukua muda gani vile kuibadilisha umiliki?
Kiwanja kipo maeneo ya ILALA,BUNGONI-DAR ES SALAAM
kwa maelezo zaidi piga namba 0754585298,0713844899
:israel:
 
Asante mkuu, ni vile tu sina hela ningekichukua mimi. Bei yako ni nzuri mno yaani kiwanja chenye ukubwa wa square metres 1200 kwa shilingi milioni mbili kwa kweli ni bei nzuri sawa na bure.

Atakae kichukua atafaidi sana, maana hayo maeneo ulivyoyaelezea ni mazuri mno kibiashara kutokana na population yake. Vp kuhusu title deeds ulisema itachukua muda gani vile kuibadilisha umiliki?
Hivi nasoma topic hii hii au tofauti
Maana natafuta hayo maelezo siyaoni? Halafu sqm 1200 kwa mil.2 Ilala Bungoni? Hahahaa. Huku ni kuibiwa si vinginevyo, labda muuzaji kaskia kiyama kitakuwa kesho.
 
Mkuu hujaona maelezo ya kutosha aliyoyaweka muuzaji hapo juu zaidi ya namba zake za simu?

Hivi nasoma topic hii hii au tofauti
Maana natafuta hayo maelezo siyaoni? Halafu sqm 1200 kwa mil.2 Ilala Bungoni? Hahahaa. Huku ni kuibiwa si vinginevyo, labda muuzaji kaskia kiyama kitakuwa kesho.
 
ukichukua tafadhali usirud humu kulia lia ooh nimetapeliwa....hyo bei hata kibaha ndani hupati 40*30 kwa 2mio.
 
Asante mkuu, ni vile tu sina hela ningekichukua mimi. Bei yako ni nzuri mno yaani kiwanja chenye ukubwa wa square metres 1200 kwa shilingi milioni mbili kwa kweli ni bei nzuri sawa na bure.

Atakae kichukua atafaidi sana, maana hayo maeneo ulivyoyaelezea ni mazuri mno kibiashara kutokana na population yake. Vp kuhusu title deeds ulisema itachukua muda gani vile kuibadilisha umiliki?

Hiyo bei umeiona wapi ?
Au through simu ?
 
Asante mkuu, ni vile tu sina hela ningekichukua mimi. Bei yako ni nzuri mno yaani kiwanja chenye ukubwa wa square metres 1200 kwa shilingi milioni mbili kwa kweli ni bei nzuri sawa na bure.

Atakae kichukua atafaidi sana, maana hayo maeneo ulivyoyaelezea ni mazuri mno kibiashara kutokana na population yake. Vp kuhusu title deeds ulisema itachukua muda gani vile kuibadilisha umiliki?

Umemchokonoa vizuri aisee.
 
hiyo million 55 uliyosema mbona kubwa sana kuliko kiwanja chenyewe ?
 
Jamaa anamchokoza mtoa mada,maana hajatoa maelezo yeyote kwenye tangazo,sasa investa mara nyingi kama muuzaji hajatoa maelezo basi yeye anatoa maelezo kum-pump muuzaji atoe bei.

More Technics
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom