Plot4Sale Kiwanja kinauzwa, kipo Bomba mbili

hnp

JF-Expert Member
Dec 4, 2020
276
473
Habari wana JF!

Kiwanja kina ukubwa wa mita 24 kwa 20 chenye nyumba kubwa iloishia kwenye linta inauzwa,bei ni Milioni 15 (Punguzo unaongea).

Nyumba ipo Bomba mbili,unashuka Mombasa(kabla hujafika Gongo la Mboto), Dar Es Salaam . Kwa maelezo zaidi na alie serious kuinunua njoo pm.
IMG-20210520-WA0002.jpg
View attachment 1793910
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom