Kiwanja Kinauzwa eneo la GOBA

Kiwanja Kinauzwa eneo la GOBA

Mamndenyi

Platinum Member
Joined
Apr 11, 2011
Posts
44,689
Reaction score
64,709
Heshima kwenu wote,
Naamini mnaendelea vizuri na majukumu ya ujenzi wa taifa

Kuna kiwanja kinauzwa,
Kipo GOBA ukubwa wake ni mita 25 kwa 30.
Bei inaanzia mil. 15/=.

Kwa mawasiliano zaidi piga simu 0755 507635 / 0655507635.
 
unauza goba kwa bei hiyo? mimi kipo kimara, nimekilevel kwa grader ilikuwa nijenge lakini nimepata pengine pazuri zaidi, kimara mwisho, kwa bei hiyo ya 15 utapata kiwanja kizuri sana. genuine, ukitaka ni pm.
 
unauza goba kwa bei hiyo? mimi kipo kimara, nimekilevel kwa grader ilikuwa nijenge lakini nimepata pengine pazuri zaidi, kimara mwisho, kwa bei hiyo ya 15 utapata kiwanja kizuri sana. genuine, ukitaka ni pm.

I see ngoja nikutafute mkuu
 
Hute ndo kusema

unauza goba kwa bei hiyo? mimi kipo kimara, nimekilevel kwa grader ilikuwa nijenge lakini nimepata pengine pazuri zaidi, kimara mwisho, kwa bei hiyo ya 15 utapata kiwanja kizuri sana. genuine, ukitaka ni pm.
 
Last edited by a moderator:
Heshima kwenu wote,
Naamini mnaendelea vizuri na majukumu ya ujenzi wa taifa

Kuna kiwanja kinauzwa,
Kipo GOBA ukubwa wake ni mita 25 kwa 30.
Bei inaanzia mil. 15/=.

Kwa mawasiliano zaidi piga simu 0755 507635 / 0655507635.
Ha!ha!ha!ha!ha!
Mkuu na wewe leo umekuja na deal.
Alafu mbona parefu sana?
Ebu kula 6m faster.
 
Cha CHUNGU mi ni dalali tu kaka,
piga simu tajwa ili utoe offer yako mkuu.

Ha!ha!ha!ha!ha!
Mkuu na wewe leo umekuja na deal.
Alafu mbona parefu sana?
Ebu kula 6m faster.
 
Last edited by a moderator:
ndo kusema ni pm kama unataka kiwanja, sihitaji dalali, labda unaweza kuniongezea hako ka 15m nitumie kujengea nyumba yangu nyingine kwenye kiwanja nilichopata kizuri zaidi. amini usiamini, nilipata ngekewa, januari hii ni mwezi mbaya sana, watu wanaishiwa hela hadi wanatamani kujiuza, nikakutana na mtu mmoja anauza kiwanja kikubwa ajabu eneo zuri, m 25, nikakirukia palepale kimara upande wa king'ong'o, ndo naporomosha mjengo wangu pale, watu wanauza kwa matatizo january mbaya.....hivyo kama kuna mtu anahitaji kiwanja changu cha zamani, anitafute, nitampa kwa 15m....kama hamtaki au ukija na mambo ya kushusha bei, tambaa, nitajenga fremu za maduka na nyumba ya kupangisha kwasababu si mbali na barabara, ni hatua kama 50 toka barabara ya kwenda kwa komba na si mbali na kimara mwisho stand, watu bwerere na ni eneo la biashara sana.
 
ndo kusema ni pm kama unataka kiwanja, sihitaji dalali, labda unaweza kuniongezea hako ka 15m nitumie kujengea nyumba yangu nyingine kwenye kiwanja nilichopata kizuri zaidi. amini usiamini, nilipata ngekewa, januari hii ni mwezi mbaya sana, watu wanaishiwa hela hadi wanatamani kujiuza, nikakutana na mtu mmoja anauza kiwanja kikubwa ajabu eneo zuri, m 25, nikakirukia palepale kimara upande wa king'ong'o, ndo naporomosha mjengo wangu pale, watu wanauza kwa matatizo january mbaya.....hivyo kama kuna mtu anahitaji kiwanja changu cha zamani, anitafute, nitampa kwa 15m....kama hamtaki au ukija na mambo ya kushusha bei, tambaa, nitajenga fremu za maduka na nyumba ya kupangisha kwasababu si mbali na barabara, ni hatua kama 50 toka barabara ya kwenda kwa komba na si mbali na kimara mwisho stand, watu bwerere na ni eneo la biashara sana.

Angalia mkuu hapa
Hute has chosen not to receive private messages or may not be allowed to receive private messages. Therefore you may not send your message to him/her.

If you are trying to send this message to multiple recipients, remove Hute from the recipient list and send the message again.
 
Hute huyo ni jamaa yangu anauza wala siyo changu,
pia mimi kwa sasa sihitaji kiwanja ninavyo vya kutosha na vyote ni hot cake mkuu wangu.

ndo kusema ni pm kama unataka kiwanja, sihitaji dalali, labda unaweza kuniongezea hako ka 15m nitumie kujengea nyumba yangu nyingine kwenye kiwanja nilichopata kizuri zaidi. amini usiamini, nilipata ngekewa, januari hii ni mwezi mbaya sana, watu wanaishiwa hela hadi wanatamani kujiuza, nikakutana na mtu mmoja anauza kiwanja kikubwa ajabu eneo zuri, m 25, nikakirukia palepale kimara upande wa king'ong'o, ndo naporomosha mjengo wangu pale, watu wanauza kwa matatizo january mbaya.....hivyo kama kuna mtu anahitaji kiwanja changu cha zamani, anitafute, nitampa kwa 15m....kama hamtaki au ukija na mambo ya kushusha bei, tambaa, nitajenga fremu za maduka na nyumba ya kupangisha kwasababu si mbali na barabara, ni hatua kama 50 toka barabara ya kwenda kwa komba na si mbali na kimara mwisho stand, watu bwerere na ni eneo la biashara sana.
 
Last edited by a moderator:
ndo kusema ni pm kama unataka kiwanja, sihitaji dalali, labda unaweza kuniongezea hako ka 15m nitumie kujengea nyumba yangu nyingine kwenye kiwanja nilichopata kizuri zaidi. amini usiamini, nilipata ngekewa, januari hii ni mwezi mbaya sana, watu wanaishiwa hela hadi wanatamani kujiuza, nikakutana na mtu mmoja anauza kiwanja kikubwa ajabu eneo zuri, m 25, nikakirukia palepale kimara upande wa king'ong'o, ndo naporomosha mjengo wangu pale, watu wanauza kwa matatizo january mbaya.....hivyo kama kuna mtu anahitaji kiwanja changu cha zamani, anitafute, nitampa kwa 15m....kama hamtaki au ukija na mambo ya kushusha bei, tambaa, nitajenga fremu za maduka na nyumba ya kupangisha kwasababu si mbali na barabara, ni hatua kama 50 toka barabara ya kwenda kwa komba na si mbali na kimara mwisho stand, watu bwerere na ni eneo la biashara sana.

Mkuu Hute tufanye biashara bana mi natafuta kiwanja Kimara niPM tulonge mkuu
 
Last edited by a moderator:

Similar Discussions

Back
Top Bottom