Nijosnotes
Member
- Aug 1, 2021
- 85
- 79
Bei inazungumzika, piga simu kama umekipendaTatizo bei.
15000/ sqm.
Bulale kulia kama unaenda usagala, huku ni kushoto kama unaenda usagala mbele kidogo tu ya VetaHuko sio Bulale kweli
Sio kweli Buhongwa ukirudi miaka 10 tu nyuma palikua nimaporiBuhongwa si ndio mbagala ya mwanza
mwanza hakuna sehemu inakaribiana na mbagala.Buhongwa si ndio mbagala ya mwanza
Sijaelewa hapo mnafananisha kwa kipi? idadi ya watu? Ubora wa makazi? au huduma muhimu?mwanza hakuna sehemu inakaribiana na mbagala.
nimejaribu kuifananisha Igoma, ila imegoma.
Kiwanja kinauzwa Buhongwa mwanza mita 800 tu kutoka stendi ya daladala buhongwa.
Ukubwa ni Squaremeter 1200
Kiwanja ni tambalale na kipo barabarani kabisa, eneo limeendelea kwa makazi ya watu.... Huduma za umeme na maji zimefika.
Bei Tsh. 18,000,000. Hakina udalali ongea na mwenye nyumba moja kwa moja....... NAMBA: 0627 024790
Kiwanja kimepimwa, bei inajumuisha hati ya kiwanja.
View attachment 1923827
View attachment 1923828
View attachment 1923829
View attachment 1923830
Kiwanja kinauzwa Buhongwa mwanza mita 800 tu kutoka stendi ya daladala buhongwa.
Ukubwa ni Squaremeter 1200
Kiwanja ni tambalale na kipo barabarani kabisa, eneo limeendelea kwa makazi ya watu.... Huduma za umeme na maji zimefika.
Bei Tsh. 18,000,000. Hakina udalali ongea na mwenye nyumba moja kwa moja....... NAMBA: 0627 024790
Kiwanja kimepimwa, bei inajumuisha hati ya kiwanja.
View attachment 1923827
View attachment 1923828
View attachment 1923829
View attachment 1923830
Unatokea mkoa gani mkuu?Tatizo la watu wa Mwanza mnajifanya wajanja bei zenu mnapo taja mnajifanya wengine hawana uelewa na bei
Mtakaa na viwanja vyenu
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile
bado kipo mkuu wasiliana na mwenye kiwanja 0627 024790Tayari kimeuzwa?
bado kipo mkuu wasiliana na mwenye kiwanja 0627 024790
sawa sahivi kimefika 15 millioniUkifika 8milioni , niambie.
😆😆😆 La Kuna watu nishidaPoa mkuu, kikiuzwa unistue.