Dodo18
JF-Expert Member
- Feb 26, 2011
- 315
- 93
Nauza kiwanja changu babati kina ukubwa wa Sqmeter 886 viwanja serikali viligawa kwa awamu tatu na vina certified title deed kutoka serikalini. Ipo barabara ya kuelekea arusha na it's only 3 hours to dodoma Aliekua interested ani pm tuongee Au anicheki katika namba zifuatazo 0712 220207 au 0767 173 885