Kiwanja kinauzwa Babati

Kiwanja kinauzwa Babati

Dodo18

JF-Expert Member
Joined
Feb 26, 2011
Posts
315
Reaction score
93
Nauza kiwanja changu babati kina ukubwa wa Sqmeter 886 viwanja serikali viligawa kwa awamu tatu na vina certified title deed kutoka serikalini. Ipo barabara ya kuelekea arusha na it's only 3 hours to dodoma Aliekua interested ani pm tuongee Au anicheki katika namba zifuatazo 0712 220207 au 0767 173 885
 
Mkuu unge tupm sote humu kama unaona shida kuweka bei hapo hadharani.Unamuogopa nani na Kiwanja ni chako?au ni cha familia ndugu unahisi wamo humu watakushtukia kabla hujawachinjia baharini?
 
Mkuu unge tupm sote humu kama unaona shida kuweka bei hapo hadharani.Unamuogopa nani na Kiwanja ni chako?au ni cha familia ndugu unahisi wamo humu watakushtukia kabla hujawachinjia baharini?
Kweli boss. Ni kiwanja changu na ninasikitika sana kukiweka sokoni sababu najua kesho na kesho kutwa bei yake itakua juu sana kutokana na hayo maeneo husika yalivyo in-demand ila kwa sababu mbili tatu inabidi nipauze. Bei ni 2M
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom