gozo
JF-Expert Member
- Sep 15, 2011
- 458
- 86
Habari zenu wakuu
Nahitaji kiwanja kiwe kati ya maeneo ya tegeta,tabata,kimara au mbezi ya kimara na maeneo ya kongowe ya mbagala....
kiwanja kisiwe mbali kutoka barabara kuu,kiwe kinafikika kwa urahisi kwa gari,kiwe jirani na huduma muhimu kama umeme na maji na kiwe tambarare...
Nikipata maeneo ya boko au bunju iatkuwa bora zaidi...
Bajeti yangu ni mil 7 tu....
Nahitaji kiwanja kiwe kati ya maeneo ya tegeta,tabata,kimara au mbezi ya kimara na maeneo ya kongowe ya mbagala....
kiwanja kisiwe mbali kutoka barabara kuu,kiwe kinafikika kwa urahisi kwa gari,kiwe jirani na huduma muhimu kama umeme na maji na kiwe tambarare...
Nikipata maeneo ya boko au bunju iatkuwa bora zaidi...
Bajeti yangu ni mil 7 tu....