Kiwanja kinahitajika Dar es Salaam

Kiwanja kinahitajika Dar es Salaam

ezekeo

Member
Joined
Aug 27, 2022
Posts
63
Reaction score
158
Kiwe maeneo ya Chanika, Majohe, Pugu, Ukonga na Mbezi

Ukubwa usipungue mita 25 kwa 30

Bei isizidi 2.5 milion.

Kwa yeyote mwenye koneksheni anijuze..
 
Kiwe maeneo ya Chanika, Majohe, Pugu, Ukonga na Mbezi

Ukubwa usipungue mita 25 kwa 30

Bei isizidi 2.5 milion.

Kwa yeyote mwenye koneksheni anijuze..

Bei hiyo hata Singida hupati
 
Bei hiyo Hata Kigamboni sidhani km atapata


Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu unaonekana unasema vitu usivyovijua, kigamboni Hadi 1.4 unapata sq 400...jitahidi kuwa updated ipo miradi mingi Sana huko mwasonga,dege,kimbiji,n.k...

Huko mwasonga mm ninavyo viwanja vitatu kwa Sasa nahitaji eneo tofauti na kigamboni ndio maana nikaomba wadau wanipe connection
 
Bei hiyo hata Singida hupati
Tatizo wewe umejifungia na mwisho wa siku unaishia kuongea kwa kukariri kuwa haiwezekani jitahidi kuongea vizuri na watu mkuu.... Nimepokea pm nyingi ili nifike site kuchek, vipo hadi vilivyopimwa kabisaView attachment 2339118
IMG-20220828-WA0001.jpg
 
Mkuu unaonekana unasema vitu usivyovijua, kigamboni Hadi 1.4 unapata sq 400...jitahidi kuwa updated ipo miradi mingi Sana huko mwasonga,dege,kimbiji,n.k...

Huko mwasonga mm ninavyo viwanja vitatu kwa Sasa nahitaji eneo tofauti na kigamboni ndio maana nikaomba wadau wanipe connection
Mkuu ww unataka cha 25m×30m =750sq kwa 2.5m kigamboni huko huko unaposema sidhan coz sahv 400sq tuu vinaanzia 2m kwa makampuni mengi ya Real estate ....me pia huko kigamboni nnacho maeneo ye pemba mnazi karibu na Muimbili primary school

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa uhitaji wa viwanja Chanika.
Cheki na uyu ndugu +255716304101
Viwanja vimepimwa.
Unaenda site, unakagua ukiridhika unalipia ukimaliza malipo unapata hati yako saafii.
 
Kwa uhitaji wa viwanja Chanika.
Cheki na uyu ndugu +255716304101
Viwanja vimepimwa.
Unaenda site, unakagua ukiridhika unalipia ukimaliza malipo unapata hati yako saafii.
Umubwa gani na bei ikoje?
 
Back
Top Bottom