nipe namba Pm nikuunganishe na madalaiWaungwana
Naomba kujua bei ya kiwanja kinachotosha nyumba ya kawaida tu ya vyumba vitatu na kuwe na nafasi ya ka-garden na parking na kiwe maeneo ya hapo barabarani katika eneo hilo la kanisa katoliki na shule.
Natanguliza shukrani.