Kingmairo
JF-Expert Member
- Apr 7, 2012
- 4,936
- 3,533
Ndugu wadau nahitaji kiwanja kwa wakazi wa arusha chenye at least ukubwa wa 22 x30. Hii ni minimum kama kipo kikubwa zaidi ni vema pia. Kiwanja kisiwe porini sana na pia kisiwe mjini. Kiwepo sehemu ya makazi i mean naweza kuanzisha kakibanda cha kuishi. Planned budget not more than 7million.
Mwenye taarifa aniPM tafadhali.
Mwenye taarifa aniPM tafadhali.