Mteja bado, ndio nimekuja dar, nashughulikia, bei ya mwisho 5.8mVIP MKUU ULISHAPATA MTEJA??? NA BEI NI NGAPI KWA SASA
Mwombe Mungu ingawa umeingia kwenye Uzi wangu.Amadoli said:Njoo nikupe kiwanja mbez msumi jirani na shule ya secondary mbopo umeme upo na maji ukubwa wake ni 20*23 metres . . . 6 milioni
Mkuu hakuna utapeli, hii ni mali yangu mwenyeweMi nataka ila uwoga wa kutapeliwa, hela yenyewe imekuwa ngumu kweli.