Kiwanja chenye msingi kinauzwa 6.5m

Kiwanja chenye msingi kinauzwa 6.5m

38ae8917c0b32efb83c9dbcb09ef47e4.jpg

Kuna nyingine hii inataka ml7
 
Hivi umekumbuka kusema kiwanja kiko wepi au umesahau?
 
Kiko wapi na je kina Hati?
Kipo chanika.. hapo bado bati na madirisha tu maana hadi shimo la choo limeshajengwa.. hati ipo ya kijj maana kuna kipindi nilikua nataka kufatilia mambo ya hati nikapata safari
 
Kipo chanika.. hapo bado bati na madirisha tu maana hadi shimo la choo limeshajengwa.. hati ipo ya kijj maana kuna kipindi nilikua nataka kufatilia mambo ya hati nikapata safari
Ina vyumba vingap mkuu na ukubwa wa kiwanja
 
Iyo ni master moja.. ina jiko sitng rm na choo cha pblc.. niliijenga kwa pembeni ili baadae niweze kujenga nyumba kubwa maana bado nafasi ipo kubwa
Mkuu hebu njoo pm tuyajenge ukubwa wa eneo plz
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom