Kiwanja chenye msingi kinauzwa 6.5m

Kiwanja chenye msingi kinauzwa 6.5m

golden pride

JF-Expert Member
Joined
Oct 24, 2014
Posts
847
Reaction score
435
SASA KINAUZWA KWA UTARATIBU WA INSTALLMENTS


Wakuu poleni na majukumu,
Kimfaacho mtu chake. Nauza eneo langu ambalo lina msingi wa nyumba
Sifa za eneo
-Lipo chanika zogo Ali
-Umeme nguzo tayari
-Vyumba vitatu, master moja, dinning, sebule, public toilet,jiko na store
-Ukubwa wa kiwanja 20*20
-Linafikika kwa gari
-Umbali ni 1km kutoka chanika mwisho stand
-Mabaki ya ujenzi, tofali, na kokoto vipo
-Msingi ni imara, nondo 12mm nne kila upande
NB: HIZI NI PICHA ZA 2013,
Nauza kwa sababu ya shida zinazonikabili, bei 6.5m

Hela ya mjumbe na mwenyekiti wa mtaa, nitatoa mimi

IMG_20150624_113219[1].jpg

IMG_20150624_113204[1].jpg

IMG_20150624_114438[1].jpg

IMG_20150624_113153-3[1].jpg
 

Attachments

  • IMG-20150716-WA0005[1].jpg
    IMG-20150716-WA0005[1].jpg
    183.2 KB · Views: 125
Wakuu poleni na majukumu,
Kimfaacho mtu chake. Nauza eneo langu ambalo lina msingi wa nyumba
Sifa za eneo
-Lipo chanika zogo Ali
-Umeme nguzo tayari
-Vyumba vitatu, master moja, dinning, sebule, pumlic toilet,jiko na store
-Ukubwa wa kiwanja 20*20
-Linafikika kwa gari
-Umbali ni 1km kutoka chanika mwisho stand
-Mabaki ya ujenzi, tofali, na kokoto vipo
-Msingi ni imara, nondo 12mm nne kila upande

Nauza kwa sababu ya shida zinazonikabili, bei 6.5m

View attachment 644576
View attachment 644578
View attachment 644580
View attachment 644582
vyuma!?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom