Twilumba
JF-Expert Member
- Dec 5, 2010
- 11,551
- 12,417
Kiwanja chenye Hati miliki/tittle deed, ukubwa wa ujazo (Square meter) 954 (ujazo wa kati yaani medium density)kipo kwenye mradi wa Madaganya Manispaa ya Morogoro, Barabara ya Morogoro-Iringa.
Kiwanja kipo Ndani ya Manispaa ya Morogoro, Km 7 kutoka Morogoro mjin, kinakaribiana na chuo kikuu cha Mzumbe.
Kiwanja ni moja ya vile viwanja vilivyokuwa chini ya mradi wa UTT na baadae kuwamilikisha watu binafsi.
Miundo mbinu yote muhimu (Maji na Umeme) imefika katika eneo la viwanja.
Bei ni TZS 12M (negotiation allowed)
Kwa mawasiliano Piga simu Namba 0715048222
Wekeza kwenye Ardhi kwa manufaa ya sasa na baadae.
Kiwanja kipo Ndani ya Manispaa ya Morogoro, Km 7 kutoka Morogoro mjin, kinakaribiana na chuo kikuu cha Mzumbe.
Kiwanja ni moja ya vile viwanja vilivyokuwa chini ya mradi wa UTT na baadae kuwamilikisha watu binafsi.
Miundo mbinu yote muhimu (Maji na Umeme) imefika katika eneo la viwanja.
Bei ni TZS 12M (negotiation allowed)
Kwa mawasiliano Piga simu Namba 0715048222
Wekeza kwenye Ardhi kwa manufaa ya sasa na baadae.