Gezuz
JF-Expert Member
- Dec 17, 2016
- 1,010
- 1,353
Habari za wakati wakuu,
Kiwanja kinauzwa eneo la Mpamaa kata ya Miyuji-Manispaa ya jiji la Dodoma.
Kina ukubwa wa 60Mt kwa 35Mt(Kimepimwa) lakini pia kipo eneo lenye huduma zote za kijamii kama St Gemma Hos. St. Gaspal pre&primary school,Chuo cha Mipango n.k,
Lakini pia kipo jirani kabisa mwa uwanja mpya wa ndege wa Msalato.
Bei elekezi ya awali ni 8.5M ila mazungumzo yapo.
NB:Hakuna dalali wala mtu kati.
Karibuni
Kiwanja kinauzwa eneo la Mpamaa kata ya Miyuji-Manispaa ya jiji la Dodoma.
Kina ukubwa wa 60Mt kwa 35Mt(Kimepimwa) lakini pia kipo eneo lenye huduma zote za kijamii kama St Gemma Hos. St. Gaspal pre&primary school,Chuo cha Mipango n.k,
Lakini pia kipo jirani kabisa mwa uwanja mpya wa ndege wa Msalato.
Bei elekezi ya awali ni 8.5M ila mazungumzo yapo.
NB:Hakuna dalali wala mtu kati.
Karibuni