Kiwanja au Biashara

Gawa iyo ela katikati nunua kiwanja nusu ingine endelea kudunduliza hadi ifikie lengo lako kununua kiwanja kwa ajili ya kujenga ni kuzika pesa kwahiyo inatakiwa uzike pesa iliyokufa kwa maana ambayo haina kazi au ambayo hata isipokuwepo huwezi ijutia

Lakini pia ukinunua kiwanja huwezi jenga Leo wala kesho ukamaliza otherwise ujenge kijumba tu cha kujistiri chumba kimoja na sebule iyo ela unaweza tosha tofauti na hapo lazima ufanye biashara na kazi nyingine ili upate ela ya kujengea
 
Hapa Kuna taarifa haujatupatia. Hawa jamaa walikuwa na kipato kingine kabla hawajachukua huo mkopo. Hiki ndo kiliwaaminisha bank kuwa wataweza kurejesha hiyo mikopo. Je chanzo Cha bwana B Cha mapato kiliyumba? Hata kama mkopo ni WA miaka 2 unatakiwa kurudisha kidogo kidogo either Kila wiki ama mwezi. Naamini labda bwana B chanzo chake kilipata shida ndo maana aliuza kiwanja. Bwana A anabahati biashara yake ilienda pouwa. Hujawahi ona watu biashara wanafunga? Sio Kila mtu anaweza Fanya biashara ni kipawa/ passion kama zilivyoshughuli nyingine kama kilimo au ku beti
 
Yote sawa Mkuu, kiwanja Huwa hakishuki bei,na biashara ukienda vizuri tunanunua kiwanja na viwanja,pia ukianza na kiwanja, biashara ikidoda unauza kiwanja biashara inaendelea!Kwa hiyo inategemea na moyo wako unataka Nini!
 
Kwanini Ulioa? KATAA NDOA
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ