Kilimo
JF-Expert Member
- Sep 27, 2011
- 777
- 192
hiki ni kiwanja kilichopo maeneo ya Misugusugu - KIBAHA upande wa kushoto kama unaelekea DSM.
umbali:- ni kilometa 1 toka morogoro road ukubwa:- ni ekari 2 (na inazidi kidogo)
hati/offer: hakina (hakijapimwa)
bei: Tshs Milioni 18 ( hakuna dalali)
NB: kipo karibu na bomba kuu la maji umbali karibia mita 50 hivi na ni kandokando mwa barabara itokayo bagamoyo
umbali:- ni kilometa 1 toka morogoro road ukubwa:- ni ekari 2 (na inazidi kidogo)
hati/offer: hakina (hakijapimwa)
bei: Tshs Milioni 18 ( hakuna dalali)
NB: kipo karibu na bomba kuu la maji umbali karibia mita 50 hivi na ni kandokando mwa barabara itokayo bagamoyo