real G
JF-Expert Member
- Feb 7, 2013
- 5,227
- 5,287
Kiwanda cha kutengeneza nguo cha Sunflug kilichoko mkoani Arusha kimetozwa faini ya Shilingi Milioni mia moja baada ya kubainika kuzalisha, kusambaza na kuuza nyavu zisizokubalika kisheria na zinazotumika kuendesha uvuvi haramu katika maeneo mbalimbali nchini.
Shehena za vifaa vya uvuvi haramu tani zaidi ya 50 zakamatwa katika kiwanda cha kutengenezea nguo cha Sunflag jijini Arusha.
Shehena za vifaa vya uvuvi haramu tani zaidi ya 50 zakamatwa katika kiwanda cha kutengenezea nguo cha Sunflag jijini Arusha.