Baba Mtakatifu
JF-Expert Member
- Dec 31, 2017
- 1,332
- 2,466
Mpaka sasa awamu hii imeshajenga zaidi ya viwanda elf tano....kwaiyo hicho kikifa amna shida tushajenga vingi....na vimetoa ajira kwa watanzania wa kutosha...
kwa sasa Tatizo la ajira limepungua vya kutosha....Uchumi umeongezeka mfumko wa bei umeshuka...wananchi wanafurahia maisha....Tuendelee kumuunga mkono mheshimiwa ndugu zangu.
kwa sasa Tatizo la ajira limepungua vya kutosha....Uchumi umeongezeka mfumko wa bei umeshuka...wananchi wanafurahia maisha....Tuendelee kumuunga mkono mheshimiwa ndugu zangu.