Hii habari ya uongo hata aljazeera nimeisaka haipo.Iran inaitakia nini Israel huku Iran inagongwa kila wakati huko Syria inachakazwa huko kwake Teheran wanasayansi wameuawa bado milipuko mingi inatokea iran
Poleni najua mna ndoto ya kuona Iran ikianguka .
ILA MWAMBIENI BWANA WENU MZAYUNI IRAN NI MUHAJEMI ALOSHINDIKANA NA MAREKANI NA WASHIRIKA WAKE TOKA MWAKA 1979 NA SIO MWAARABU.
IRAN IS PERSIAN NOT ARABIAN ENDELEENI KUOTA.

