Kumekucha tena,
Natamani niwe na kiwanda cha kutengeneza tambi kwa ajili chakula. Nimepata habari kuwa Unguja biashara hii ipo sana. Natamani kujua ukubwa wa mtambo/vifaa muhimu na gharama zake. Kama unajua cho chote basi tupia hapa ichangie utafiti wangu.
Kwa hiyo unataka kujenga Kiwanda cha kutengeneza tambi kwa ajili ya soko la Unguja? Utarusdisha mkopo kweli?
Kumekucha tena,
Natamani niwe na kiwanda cha kutengeneza tambi kwa ajili chakula. Nimepata habari kuwa Unguja biashara hii ipo sana. Natamani kujua ukubwa wa mtambo/vifaa muhimu na gharama zake. Kama unajua cho chote basi tupia hapa ichangie utafiti wangu.
Wazo zuri!,ngoja waje wadau watumwagie maujanja.
Nimeona inaweza kuwa fursa nzuri kwangu kuongeza kipato.
Kumekucha tena,
Natamani niwe na kiwanda cha kutengeneza tambi kwa ajili chakula. Nimepata habari kuwa Unguja biashara hii ipo sana. Natamani kujua ukubwa wa mtambo/vifaa muhimu na gharama zake. Kama unajua cho chote basi tupia hapa ichangie utafiti wangu.
Kwa ushauri wangu kama ur serious nenda unguja kaangalie wanafanyaje pitia viwandani..Unguja ni soko lake kubwa au kuna viwanda pia?
Tambi za kula ni deal sana.
Hapa Tanzania nimeona tambi za Metl(Mohamed Enterprises) tu ndo zimetengenezwa na kupakiwa vizuri zilozobaki ni za kienyeji ila nyingi zinatoka nchi za nje kama Italy.
Komaa na ndoto yako tambi zinauzika sana waulize hata wenye maduka ya rejareja na jumla watakuambia.
Cha msingi zitengeneze katika ubora wa kisasa zipack vizuri tafuta vibali vya TFDA na TBS utapiga bingo wala usiogope changamoto za hapa na pale angalia jinsi ya kukabiliana nazo tu.
Kila la heri.
hakuna kisichowezeka na kaza buti tu kama una mautundu unaweza DIY au jaribu kutembelea SIDO kipawa utapata idea
na pia mashine hizo siyo complex no simple mashine kama itakua ya manial Jaribu kugoole pia utapata idea tofauti
kwa mfano hiyo inayoonekana hapo juu ina wheel na axle axle ambayo inakua na kitu tama trade za bolt kinachotokea chapati yako uliyooiandaa inapita na kukandamizwa huku ikikatwa kufuata mistari ya trade ,
NB mbona wachina wanaweza why not us Tuumize vichwa .
mkuu vp mashine za kutengeneza tambi sh ngap zipo wapi? me nataka zile tambi za bites pamoja na za kula nahitaji mashine zinazoweza kutengenezaHaya ndio mawazo na mambo ya wanaume, asante sana mkuu.