Axel Lloyd
JF-Expert Member
- Sep 10, 2017
- 4,170
- 9,502
KabisaWest wakikuamulia jambo lao huwezi toboa.
We umenunua mangapi?Kama unapesa nunua mashamba na viwanja hadi vitukuu vitakuja kukushukru.
Thamani ya hayo mashamba itapanda mara 200 zaidi baada ya Putin kuchafukwa. Oooh. We Kalia kununua simu ta Apple.
Alinunua,nikakopa Nadhani atauza mayai Sita ili apate skuli fizi... Hata hivyo putn nae anapaswa atiwe hasara.


Kwa sasa pia nae anapelekwa motoLeo Warussi wa JF watachagua wenyewe wapi waende kuzima moto STRUGGLE MAN,tukazime kwa meli au huku kwenye kiwanda![]()
Kwa sasa pia nae anapelekwa motoLeo Warussi wa JF watachagua wenyewe wapi waende kuzima moto STRUGGLE MAN,tukazime kwa meli au huku kwenye kiwanda![]()
Zelensky muonee huruma mwenzio.

kwamba ni vibaya kumdharirisha mtu mzima anaekuzidi umri... maandalizi ya kusherehekea Siku ya Ushindi 09 Mei. Warusi wameamua kusherehekea siku yao muhimu kwa staili ya aina yake!

wameshachoka na mikwara ya magwaride ya silaha kumbe hakuna kituZelensiky kaamua kuwafundisha namna mpya ya kusherehea Victory dayKwa sasa pia nae anapelekwa moto
Anataka kusababisha mauti kwa babu putin.kwamba ni vibaya kumdharirisha mtu mzima anaekuzidi umri
Na kuna soko limeungua saa hizi wamesema ni suicidalLeo Warussi wa JF watachagua wenyewe wapi waende kuzima moto STRUGGLE MAN,tukazime kwa meli au huku kwenye kiwanda![]()
Na vichwa vyao vinawaka Moto hivyo hivyo,kwa hiyo wataanza na kipi sijui Kati ya Kichwa,meli au kiwanda😂😂Leo Warussi wa JF watachagua wenyewe wapi waende kuzima moto STRUGGLE MAN,tukazime kwa meli au huku kwenye kiwanda![]()