Kiwanda cha chipsi (food processing industry)

rich gang

JF-Expert Member
Jun 9, 2016
1,552
908
Salama wakubwa wa kazi....??

siku kadhaa zimepita tangu tusikie ile kauli ya "UKIWA NA VYEREHANI VINNE (4) ICHO NI KIWANDA KIDOGO"...mimi kama mtanzania nimevutiwa sanaaaa na statement ile na nimeona isiwe shida,nimefungua kiwanda changu cha kuvi_process viazi vikawa CHIPSI..so what i need is mgeni rasmi aje kukizindua hichi kiwanda changu na kama inawezekana ningependa niwekewe na jiwe la msingi pia kiwanda changu kiingizwe ktk orodha na idadi ya viwanda vyetu hapa nchini tanzania.... MUNGU MWENYEZI AKIPENDA NITAONGEZA VIWANDA VINGINE


KARIBUNI NYOOTE KIWANDANI KWANGU,...
.Kiepe yai
.nyama choma
.ndizi rosti
.kiepe kikavu
.tomato na chilli sauce free


.....NAIPENDA NCHI YANGU YA VI_WONDER
 
Salama wakubwa wa kazi....??

siku kadhaa zimepita tangu tusikie ile kauli ya "UKIWA NA VYEREHANI VINNE (4) ICHO NI KIWANDA KIDOGO"...mimi kama mtanzania nimevutiwa sanaaaa na statement ile na nimeona isiwe shida,nimefungua kiwanda changu cha kuvi_process viazi vikawa CHIPSI..so what i need is mgeni rasmi aje kukizindua hichi kiwanda changu na kama inawezekana ningependa niwekewe na jiwe la msingi pia kiwanda changu kiingizwe ktk orodha na idadi ya viwanda vyetu hapa nchini tanzania.... MUNGU MWENYEZI AKIPENDA NITAONGEZA VIWANDA VINGINE


KARIBUNI NYOOTE KIWANDANI KWANGU,...
.Kiepe yai
.nyama choma
.ndizi rosti
.kiepe kikavu
.tomato na chilli sauce free


.....NAIPENDA NCHI YANGU YA VI_WONDER
 
Ha ha ha haaaa.. Hata mimi nilisema hili, ngoja na mimi nifanye mpango wa kufungua shoe shine yangu!!

Nipe location ya kiwanda chako Mkuu walau nipite hapo nipate chochote rich gang
 
Salama wakubwa wa kazi....??

siku kadhaa zimepita tangu tusikie ile kauli ya "UKIWA NA VYEREHANI VINNE (4) ICHO NI KIWANDA KIDOGO"...mimi kama mtanzania nimevutiwa sanaaaa na statement ile na nimeona isiwe shida,nimefungua kiwanda changu cha kuvi_process viazi vikawa CHIPSI..so what i need is mgeni rasmi aje kukizindua hichi kiwanda changu na kama inawezekana ningependa niwekewe na jiwe la msingi pia kiwanda changu kiingizwe ktk orodha na idadi ya viwanda vyetu hapa nchini tanzania.... MUNGU MWENYEZI AKIPENDA NITAONGEZA VIWANDA VINGINE


KARIBUNI NYOOTE KIWANDANI KWANGU,...
.Kiepe yai
.nyama choma
.ndizi rosti
.kiepe kikavu
.tomato na chilli sauce free


.....NAIPENDA NCHI YANGU YA VI_WONDER
unatakiwa uwe na majiko kuanzia 4 ndio uite kiwanda.
 
Mkuu, naomba hapo hapo kiwandani kkwako na mimi nifungue kiwanda cha kuufanya mchele kuwa wali ili tuende sawa!

Nia ni kuwa serikali ya viwonder
 
Salama wakubwa wa kazi....??

siku kadhaa zimepita tangu tusikie ile kauli ya "UKIWA NA VYEREHANI VINNE (4) ICHO NI KIWANDA KIDOGO"...mimi kama mtanzania nimevutiwa sanaaaa na statement ile na nimeona isiwe shida,nimefungua kiwanda changu cha kuvi_process viazi vikawa CHIPSI..so what i need is mgeni rasmi aje kukizindua hichi kiwanda changu na kama inawezekana ningependa niwekewe na jiwe la msingi pia kiwanda changu kiingizwe ktk orodha na idadi ya viwanda vyetu hapa nchini tanzania.... MUNGU MWENYEZI AKIPENDA NITAONGEZA VIWANDA VINGINE


KARIBUNI NYOOTE KIWANDANI KWANGU,...
.Kiepe yai
.nyama choma
.ndizi rosti
.kiepe kikavu
.tomato na chilli sauce free


.....NAIPENDA NCHI YANGU YA VI_WONDER
Life is so good in Bashiteland.
 
Mwijage ni janga kuu, hivi unawezaje kuteua mtu kama huyo na ukampa wizara!!!!
 
Huu uzi umenifurahisha sana. Tena idea imenivutia. Hebu ngoja na mimi nichangamkia fursa alafu waje kuzngua ktk uznduz..ndiyo tutaonana wabaya
 
Back
Top Bottom