Kiwanda cha azania cha ubungo

Kiwanda cha azania cha ubungo

gmorrisy

New Member
Joined
Feb 2, 2012
Posts
4
Reaction score
0
Wananchi wa eneo wamelalamika vya kutosha ingefaa wasikilizwe hata kidogo.........something has to be done!!!!
 
Wananchi wa eneo wamelalamika vya kutosha ingefaa wasikilizwe hata kidogo.........something has to be done!!!!
Mkuu,
hii habari yako uliyoleta humu ungeweza kuokoa muda wako kwa kumtumia SMS Mbunge wa Jimbo au kuweka kwenye ukurasa wako wa Facebook. Namaanisha kuwa haieleweki kumpa nafasi mwana JF kuchangia au kufahamu lolote kutokana na hicho kiwanda husika.

Haujatueleza Kama kiwanda kinahusika na usindikaji bangi. Na hao Wananchi malalamiko Yao ni kuhusu nini? Au kunapigwa muziki usiku kucha Kama Dar Live!?
Jipange leta mada iliyosheheni maelezo ili ifanyiwe upembuzi yakinifu.
 
Back
Top Bottom