Jogoo mbegu
JF-Expert Member
- Jun 28, 2023
- 824
- 3,406
Tanzania tumebarikiwa vivutio vingi vya asili mfano mbuga za wanyama, fukwe, milima, n.k (warembo 😃)
Binafsi nimeshatembelea Ngorongo, Manyara, Oldipai George, Amboni.
Natamani sana ni pande huu mlima Kilimanjaro siku moja nikaone mandhari ya huko juu ikoje.
vilevile na tamani siku moja ni katulie Zanzibar nikaone mambo ambayo nimeyasoma shuleni na mingine kuyasikia toka mitaani.
Je, kwako kivutio gani umeshawahi kutembelea na ungependa kwenda kivutio kipi kwa siku zijazo?
Binafsi nimeshatembelea Ngorongo, Manyara, Oldipai George, Amboni.
Natamani sana ni pande huu mlima Kilimanjaro siku moja nikaone mandhari ya huko juu ikoje.
vilevile na tamani siku moja ni katulie Zanzibar nikaone mambo ambayo nimeyasoma shuleni na mingine kuyasikia toka mitaani.
Je, kwako kivutio gani umeshawahi kutembelea na ungependa kwenda kivutio kipi kwa siku zijazo?