Kivuko cha mv kigamboni chaanza kufanya kazi leo jijini dar es salaam

Herbalist Dr MziziMkavu

JF-Expert Member
Feb 3, 2009
42,360
33,205


Kivuko cha MV Kigamboni kimeanza safari zake jioni ya leo baada ya ukarabati mkubwa uliofanywa na Kikosi cha Maji cha Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) ikiwa ni utekelezaji wa agizo la Waziri wa Ujenzi Dkt. John Pombe Magufuli.

Kivuko cha MV KIgamboni kikiwa majini kuelekea eneo la Ferry kwa ajili ya kuanza kutoa Huduma ya Usafiri.

Abiria wakiingia kwenye Kivuko cha MV Kigamboni mara baada ya kuanza kufanya kazi.

Michuzi
Read more
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…