Kivuko cha Bagamoyo - Dar Chashushwa leo

Kivuko cha Bagamoyo - Dar Chashushwa leo

Status
Not open for further replies.
Kwani hiyo boti itawasaidia watu wa bagamoyo pekee? Akili mgando hizi

Itatusaidia hata sisi wa Bukoba kama replacement ya MV Bukoba kama alivyotuahidi 2010

1586963_Ferries_02_252474b.jpg
 
hii ni kati ya project ambazo hazina mashiko wala umuhimu wowote kwa sasa, mbwembwe za kijinga tuu. si bora waipeleke ikahudumie ziwa nyasa lenye meli moja, bagamoyo dar kun shida gani ya usafiri?

Ni kweli mkuu,huu ni upuuzi tu.Dar-Bagamoyo hakuna shda ya usafiri hata kdogo.Bado hata wakazi wa Tegeta,Boko na Bunju haiwezi kuwa na msaada kwa kuzingatia umbali toka baharini na makazi ya watu.
 
Ni kweli mkuu,huu ni upuuzi tu.Dar-Bagamoyo hakuna shda ya usafiri hata kdogo.Bado hata wakazi wa Tegeta,Boko na Bunju haiwezi kuwa na msaada kwa kuzingatia umbali toka baharini na makazi ya watu.

Naamin hata dini zinafundisha kushukuru hata kwa kidogo unachopata kwa nguvu yako. Na ww jamaa nafkir Dar huijui Tegeta hakuna folen unasema? Eti barabara ziko mbali kutoka baharin, sasa huon kwamba kutafanywa juhudi za kujenga njia huko
 
Ni kweli mkuu,huu ni upuuzi tu.Dar-Bagamoyo hakuna shda ya usafiri hata kdogo.Bado hata wakazi wa Tegeta,Boko na Bunju haiwezi kuwa na msaada kwa kuzingatia umbali toka baharini na makazi ya watu.

ni kutekeleza ilani ya uchaguzi wa ccm 2010; kivuko cha Bagamoyo- Dar
 
Very Good, Acha wenye haki nao wafaidike !! kesho na wengine zamu zao zitafika..... Indeed Tanzania inabadilika siku baada ya siku.
 
Kwani hiyo boti itawasaidia watu wa bagamoyo pekee? Akili mgando hizi

mimi sio wa Bagamoyo ;inaishi Bagamoyo; Mimi kwetu Mtwara ;wife Kigoma; Tunaishi bagamoyo ; Inasaidia WATANZANIA;
Sisi sio wabaguzi hakuna kama W.A.K.E.N.Y.A
 
Endapo kama inaletwa Boat moja bado ni shida........... haitosaidia.

Inapaswa kuwa boat 3 au 4 na siyo moja kwani umbali kutoka DSM hadi bagamoyo ni mkubwa.

Sijui nauli itakuwa Ni shiilngi ngapi. Kwani endapo ikiwa ni kubwa haitosaidia kwani itaongeza gharama za kusafiri.

Mfano mtu anakwenda Mabwe pande. Itamlazimu kwenda kushukia Mbweni kisha apande daladala kwenda Bunju kisha aelekee Mabwe.


MIZAMBWA
INANIUMA SANA!!!
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom