Kivuko cha Bagamoyo - Dar Chashushwa leo

Kivuko cha Bagamoyo - Dar Chashushwa leo

Status
Not open for further replies.

R.B

JF-Expert Member
Joined
May 10, 2012
Posts
6,296
Reaction score
2,578
boat ya mwendokasi kwenda Bagamoyo- kwenda Dar INASHUKA LEO Kutoka CANADA

20096260281871639.jpg
 
hivi hiyo boti itakuwa inachukua watu wangapi na itafanya safari ngapi kwa siku?
 
Hivi mbona siku hizi kila mradi lazma bagamoyo ufike? Kwanin ?
 
hivi kivuko sikilikuwa kinatengenezwa na wa denmark huko asia, hicho kutoka canada mbona nasikia leo???
 
Inaitwa mv dar es salaam; magufuri kaifungua rasmi
 
Kituo ni ferry. Naona ujenzi wa eneo LA kupumzikia abiria unaendelea Kwa kasi ya ajabu.
 
hii ni kati ya project ambazo hazina mashiko wala umuhimu wowote kwa sasa, mbwembwe za kijinga tuu. si bora waipeleke ikahudumie ziwa nyasa lenye meli moja, bagamoyo dar kuna shida gani ya usafiri?
 
bagamoyooooooooooooooooooooooooooooooo!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!111111
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom