Kiuyu, Pemba: Kijana wa miaka 15 ashikiliwa na Polisi kwa tuhuma ya kumlawiti mtoto wa miaka 3

G-Mdadisi

Senior Member
Feb 15, 2018
157
99
JESHI la Polisi Mkoa wa KaskaziniPemba linamshikiiwa kijana mwenye umri wa miaka 15 kwa tuhuma za kumlawiti mtoto wa kiume mwenye umri wa miaka 3.

Kamanda wa Polisi Mkoa wa Kaskazini Pemba Kamisha Msaidizi Juma Sadi Khamis amethibitisha tukio hilo na kusema limetokea shehia ya Kiuyu mingwini wilaya ya Wete.

Akizungumza Ofisini kwake kamanda sadi amesema mtuhumiwa huyo anaendelea kumhoji na upelelezi ukikamilika atafikishwa mahakamani kujibu tuhuma zinazomkabili.

Aidha kamanda Sadi amewataka viongozi wa Dini kuendelea kutoa elimu ya kupinga matendo hayo sehemu za ibada ili kufanikisha lengo la serikali la kuyatokomeza matendo hayo.

Kufuatia mtuhumiwa huyo kuwa chini ya umri wa miaka 18, sheria namba 6/2021 , kifungu cha 45, (1) sheria ya mtoto ya zanzibar mahakama itamwachia mtoto huyo katika matunzo ya wazazi kwa sharti ya kwamba kila anapohitajika afikishwe mahakamani

#UGATvFurafaYako
 
Haya mambo mbona yamezid sana tuwaweke wapi watoto wetu ,mtoto wa miaka 3 duuh huyo kijana mbona ni muuaji kbs
 
JESHI la Polisi Mkoa wa KaskaziniPemba linamshikiiwa kijana mwenye umri wa miaka 15 kwa tuhuma za kumlawiti mtoto wa kiume mwenye umri wa miaka 3.

Kamanda wa Polisi Mkoa wa Kaskazini Pemba Kamisha Msaidizi Juma Sadi Khamis amethibitisha tukio hilo na kusema limetokea shehia ya Kiuyu mingwini wilaya ya Wete.


Akizungumza Ofisini kwake kamanda sadi amesema mtuhumiwa huyo anaendelea kumhoji na upelelezi ukikamilika atafikishwa mahakamani kujibu tuhuma zinazomkabili.


Aidha kamanda Sadi amewataka viongozi wa Dini kuendelea kutoa elimu ya kupinga matendo hayo sehemu za ibada ili kufanikisha lengo la serikali la kuyatokomeza matendo hayo.


Kufuatia mtuhumiwa huyo kuwa chini ya umri wa miaka 18, sheria namba 6/2021 , kifungu cha 45, (1) sheria ya mtoto ya zanzibar mahakama itamwachia mtoto huyo katika matunzo ya wazazi kwa sharti ya kwamba kila anapohitajika afikishwe mahakamani

#UGATvFurafaYako
hivi eti wazanzibar mna nini?, mbona kila siku kesi zenu ni za kulawitiana tuu? juzi hukohuko znbr kuna babu kalawiti mtoto.

Kama mnapenda mambo ya kishoga, ingieni barabarani kudai haki zenu, ili ijulikane wazi kuwa ninyi ni mashoga.
 
WAISLAMU WANAHARIBU WATOTO WETU
Fikra za hovyo kabisa, unajua ulichokiandika? Huko vatcan mtoto akilawitiwa au kubakwa , je isemwe wakristo wanaharibu watoto?
Uislamu unaharibu vipi watoto kutokana na swala hili?
Unajua kua uislamu ndio unasema usikurubie zinaa meaning vitu vyote vitakavyokupelekea wewe kuzini hutakiwi kua karibua navyo.
Hovyo kabisa
 
Kwa zenji hizi kesi ni za kawaida sana. Halafu hawachukui hatua yoyote. Wenyewe wanaita kuoneana muhali! Hadi Rais Mwinyi ameanzisha kampeni rasmi za kupambana na ubakaji.
 
ufuatia mtuhumiwa huyo kuwa chini ya umri wa miaka 18, sheria namba 6/2021 , kifungu cha 45, (1) sheria ya mtoto ya zanzibar mahakama itamwachia mtoto huyo katika matunzo ya wazazi kwa sharti ya kwamba kila anapohitajika afikishwe mahakamani
Kwahiyo hana kesi ya kujibu: Hizi ni sheria za hovyooooooo
 
Back
Top Bottom