Kiutani utani tu

Me370

JF-Expert Member
Joined
Mar 10, 2008
Posts
985
Reaction score
293
Jana kama utani katika akaunt yangu ya Facebook nimetuma status"Asante Mungu nimepata mshahara wangu". Baada ya dk3 baba mwenye nyumba aka like��.
 
Jana Kama utani ktk Akaunt yangu ya Facebook nimetuma status"ASANTE MUNGU NIMEPATA MSHAHARA WANGU......."Baada ya dk3 Baba mwenye Nyumba aka like

nimeipenda hiyo...baba mwenye nyumba ni jembe...linakusanya ushahidi kwanza!!
 
Ah ah ah mkuu imekula kwako mkuu...
 
Hahahaaaa hapo huchomoki...na huenda akapandisha kodi kabla ya mwaka wa bajeti ya serikali kwisha
 
Hii kali.

Mwenye nyumba hapo lazima, si anajua uhakika
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…