Kiusahihi mimba ya nani ?

Remmy !
You brought me your comments very cmpo !
But am take this aportunity to provide you some hints as follows ;
> For Man did not come from Woman, but Woman from Man .
Neither was Man created for Woman, but Woman for Man.
(Corinthians 11:8-9 )
> FOR Adams was formed first then Eve .

(1 Timotheo 2:3)
Remmy hebu angalia hayo mavifungu then utafakuri !
It's absolutely not forever this two human being equally !
And the RIB which the LORD GOD has taken from Man made he a Woman and brought her unto the MAN !
Sina maana Wife as being as a servant, but as a companion





with assistance , so that nothin be lack in of honor or of dignity in the obedience which she pays .
Yote kwa yote siungi mkono kua mume na mke wako sawa .


Sikubaliani na wewe, wote waliubwa for each other, Adam hakuwa mkamilifu Hadi pale alipoletewa Eva na Eva si mkamilifu bila Adamu kila mmoja anamtegemea mwenzake tusitafsiri vibaya biblia. Mungu akuuchukua ubavu wa Adamu si maana kuwa hawa amemtegemea Adamu ni uumbaji pengine Mungu hakutaka tutofautiane.
Bado mimba itakuwa ya wote kwasababu wote wameplay part kutoa mbegu, yai na mbegu, each independent haiwezi kuleta mimba.
 
Sikubaliani na wewe, wote waliubwa for each other, Adam hakuwa mkamilifu Hadi pale alipoletewa Eva na Eva si mkamilifu bila Adamu kila mmoja anamtegemea mwenzake tusitafsiri vibaya biblia. Mungu akuuchukua ubavu wa Adamu si maana kuwa hawa amemtegemea Adamu ni uumbaji pengine Mungu hakutaka tutofautiane.
Bado mimba itakuwa ya wote kwasababu wote wameplay part kutoa mbegu, yai na mbegu, each independent haiwezi kuleta mimba.

Sasa Remmy , pamoja na maubishi yako hatujayaendeleza nijibu kitu kimoja kwanza.
Kati ya Adamu na Hawa nani aliumbwa ?
Na nani alikua producted kwa mwenzake !
Note the vary between CREAT and PRODUCE !
 
mimba ni ya wawili....kila mmoja kachangia mimba hiyo kutungwa......na mwanamke ana haki ya kuishi popote pale kuwa na mimba sio kigezo.....

Ila hiyo couple itakuwa inapendana mengine yote mbwembwe tu....
 
mimba ni ya wawili....kila mmoja kachangia mimba hiyo kutungwa......na mwanamke ana haki ya kuishi popote pale kuwa na mimba sio kigezo.....

Ila hiyo couple itakuwa inapendana mengine yote mbwembwe tu....

Hakuna akataae mimba ni ya both! Bt inapotokea tumekorogana afu ukajitunisha msuli , eti wataka kuondoka kwenye boma uende kwenu, na mie sitotaka ukaitese hiyo "mimba yangu" kwa watu isiyowahusu! Na ndiyo power of man inapofanya kazi yake.
 
Pilot abebapo abiria na ndege Airbus pia yake! Kumbe ?
Alaaa sawa mkuu!
hebu jiulize kimiujiza unatupiwa mimba aliyonayo mkeo angalau ukae nayo miezi miwili tu ungekubali,kwa hakika mimba ni ya mwanamke mwanaume anakuja kuwa mmiliki wa mtoto.utadaije mimba ni yako wakati kaibeba mwingine.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom